hi wadau wa JF.sikizeni kisa changu
kipindi nasoma nikuwa na madem wingi &nimekuwa nikiachana nao kwani they were not girls of my dreams,hiyo baada ya kukaa nao muda.
sasa nimemaliza chuo nafanya kazi ktk moja ya intrenationa organization,with good salary more than 2m/month,i have car,everything in my house,kiwanja nk.but suala la mke linanisumbua kichwa.sioni wakufaa na access na mademu imeanzapungua kwa sababu ya ubize wa kazi.(unajua ukifanya kazi na wazungu)muda unaenda , vicheche nahfia kuseezi dreams zangu.i feel lonely.
ushauri wa kujenga wadau.
kipindi nasoma nikuwa na madem wingi &nimekuwa nikiachana nao kwani they were not girls of my dreams,hiyo baada ya kukaa nao muda.
sasa nimemaliza chuo nafanya kazi ktk moja ya intrenationa organization,with good salary more than 2m/month,i have car,everything in my house,kiwanja nk.but suala la mke linanisumbua kichwa.sioni wakufaa na access na mademu imeanzapungua kwa sababu ya ubize wa kazi.(unajua ukifanya kazi na wazungu)muda unaenda , vicheche nahfia kuseezi dreams zangu.i feel lonely.
ushauri wa kujenga wadau.
Last edited: