Nipo kwa rafiki yangu naye ana rafiki mwingine ambae akija ananisema kwa mafumbo sana eti nimekaa sana sitoi hata hela ya chakula

Mallerina

JF-Expert Member
Joined
Jan 19, 2023
Posts
1,236
Reaction score
2,060
Jamani rafiki yangu wa kike aliniita nikampe company na hii naingia wiki pili ila ana rafiki mwingine ambae akija ananisema kwa mafumbo sana eti nimekaa sana sitoi chochote ata Hela ya chakula ....
NB.(Aliniita mwenyewe)

Ila Mimi nakausha kama sitambui lolote ila moyoni naona aibu....

Hii kusemwa inamaanisha sitakiwi au?
 
Kakae kwenu mpaka wazazi wako wakupishe.
 
Sasa kwanini usirudi kwenu, hauna wazazi huko kwenu unakotoka?
 
Sasa kwanini huondoki kwa watu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…