Nipo kwenye haya mahusiano nisiyoyaelewa

Nipo kwenye haya mahusiano nisiyoyaelewa

Kiukweli mapenzi yanauma sana jamni acheni tu, kuna mwanamke nipo nae sasa tuna miezi mitatu, tulikutanaga instagram ndipo tukawa tunawasilana hadi baadae tulipoingia kwenye uchumba, bahati nzuri tunakaa mtaa sio mbali mbali, yeye yupo kihonda mimi nipo msamvu na uwa tunakutana mara kwa mara ila sasa hatujaonana mda mrefu zaidi ya kuwasiliana tu kwa simu, sasa kinachoniumiza ni kumuona huyu mtu kabadilika ghafla, inabidi kila siku mimi ndie wa kumuanza kumtafuta, nisipomtafuta yeye wala hanitafuti, nimejukuta mimi tu ndio wa kutetea penzi langu na yeye wala hajali, anaweza kukaa wiki nzima asikutafute hadi umuanze, binafsi nimejitahidi kuwa mvumilivu nikahisi huenda labda ananipima uvumilivu wangu lakini naona kama nakata tamaa, kweli nampenda ila dharau alizoanza kunionyeshea ndio zinanivunja moyo,
Naombeni ushauri?
Jiongeze ww. Mtoto wa kiume unalilia mapenz..?
Demu amenza kubadilika mpotezee.
Haina haja ya kumlaZimisha mtu akupende.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kiukweli mapenzi yanauma sana jamni acheni tu, kuna mwanamke nipo nae sasa tuna miezi mitatu, tulikutanaga instagram ndipo tukawa tunawasilana hadi baadae tulipoingia kwenye uchumba, bahati nzuri tunakaa mtaa sio mbali mbali, yeye yupo kihonda mimi nipo msamvu na uwa tunakutana mara kwa mara ila sasa hatujaonana mda mrefu zaidi ya kuwasiliana tu kwa simu, sasa kinachoniumiza ni kumuona huyu mtu kabadilika ghafla, inabidi kila siku mimi ndie wa kumuanza kumtafuta, nisipomtafuta yeye wala hanitafuti, nimejukuta mimi tu ndio wa kutetea penzi langu na yeye wala hajali, anaweza kukaa wiki nzima asikutafute hadi umuanze, binafsi nimejitahidi kuwa mvumilivu nikahisi huenda labda ananipima uvumilivu wangu lakini naona kama nakata tamaa, kweli nampenda ila dharau alizoanza kunionyeshea ndio zinanivunja moyo,
Naombeni ushauri?
Morogoro? Morogoro kabisa?? Duh pole sana
 
Huyo sio wako mkuu, mpotezee na uache kumtafuta kabisa. Futa namba japo inauma kama bado ujala tunda na ushahudumia
 
sawa mkuu nimekielewa japo inauma sana maana nampenda sana kupita maelezo mkuu, naweza kufuta namba zake ila nikawa naumia
Huyo sio wako mkuu, mpotezee na uache kumtafuta kabisa. Futa namba japo inauma kama bado ujala tunda na ushahudumia
 
Kujishusha hadhi kiaje mkuu?
Jaribu kuongea nae mueleze unavyojisikia lkn usiwe kiviilee utajishusha hadhi!
Pia jaribu kunogesha mawasiliano yenu awe nashauku nawe usikute bado mpaka leo unamuuliza kwenu kuna mbwa😅
Kabla hujamuuliza umemkwaza nini fikiria we mwenyewe umekosea wapi.. ukiona hana sababu yenye mantiki bro anza kujiandaa kaa mguu nje mguu ndani
 
Kiukweli mapenzi yanauma sana jamni acheni tu, kuna mwanamke nipo nae sasa tuna miezi mitatu, tulikutanaga instagram ndipo tukawa tunawasilana hadi baadae tulipoingia kwenye uchumba, bahati nzuri tunakaa mtaa sio mbali mbali, yeye yupo kihonda mimi nipo msamvu na uwa tunakutana mara kwa mara ila sasa hatujaonana mda mrefu zaidi ya kuwasiliana tu kwa simu, sasa kinachoniumiza ni kumuona huyu mtu kabadilika ghafla, inabidi kila siku mimi ndie wa kumuanza kumtafuta, nisipomtafuta yeye wala hanitafuti, nimejukuta mimi tu ndio wa kutetea penzi langu na yeye wala hajali, anaweza kukaa wiki nzima asikutafute hadi umuanze, binafsi nimejitahidi kuwa mvumilivu nikahisi huenda labda ananipima uvumilivu wangu lakini naona kama nakata tamaa, kweli nampenda ila dharau alizoanza kunionyeshea ndio zinanivunja moyo,
Naombeni ushauri?
Asee pole kijana..! huyo achana nae kabsaa..acha kulialia kwani bila yeye utakufa..? utapata stress tu..wakati kna njemba ina mkuna balaa akitoka hapo anachechemea..lazima wiki iishe tu hajakutafuta..!
Endelea kuzingatia kanuni za afya..Jikinge dhidi ya corona..!
 
Kiukweli mapenzi yanauma sana jamni acheni tu, kuna mwanamke nipo nae sasa tuna miezi mitatu, tulikutanaga instagram ndipo tukawa tunawasilana hadi baadae tulipoingia kwenye uchumba, bahati nzuri tunakaa mtaa sio mbali mbali, yeye yupo kihonda mimi nipo msamvu na uwa tunakutana mara kwa mara ila sasa hatujaonana mda mrefu zaidi ya kuwasiliana tu kwa simu, sasa kinachoniumiza ni kumuona huyu mtu kabadilika ghafla, inabidi kila siku mimi ndie wa kumuanza kumtafuta, nisipomtafuta yeye wala hanitafuti, nimejukuta mimi tu ndio wa kutetea penzi langu na yeye wala hajali, anaweza kukaa wiki nzima asikutafute hadi umuanze, binafsi nimejitahidi kuwa mvumilivu nikahisi huenda labda ananipima uvumilivu wangu lakini naona kama nakata tamaa, kweli nampenda ila dharau alizoanza kunionyeshea ndio zinanivunja moyo,
Naombeni ushauri?
Asee pole kijana..! huyo achana nae kabsaa..acha kulialia kwani bila yeye utakufa..? utapata stress tu..wakati kna njemba ina mkuna balaa akitoka hapo anachechemea..lazima wiki iishe tu hajakutafuta..!
Endelea kuzingatia kanuni za afya..Jikinge dhidi ya corona..!
 
sawa ndugu
Asee pole kijana..! huyo achana nae kabsaa..acha kulialia kwani bila yeye utakufa..? utapata stress tu..wakati kna njemba ina mkuna balaa akitoka hapo anachechemea..lazima wiki iishe tu hajakutafuta..!
Endelea kuzingatia kanuni za afya..Jikinge dhidi ya corona..!
 
Back
Top Bottom