Hata mazezeta huzaa na pia huzeekaHakuna mwanamke anayejielewa akaachika.
Hili lishangazi zuri kweli jeupee, sura nzuri umbo safi ila kichwani mmmmh
Lina mabinti wawili miaka 14 na 18, huwa wanatabia ya kushika simu yake na kusoma sms, mimi ni dizaini ya watu sijui kutumis tafsida, sasa huwa namtumia huyu shangazi sms za ujinga mfano jinsi anavyojua kuzagamuana etc
Nilichokuja kugundua kila tunachochat mabinti zake wanasoma, hata akija kupelekewa moto wanajua
Nimeamua kumuacha kwa kutojua kutunza faragha
π π π π π€£π€£π€£π€£Anzeni kujadiliana kuhusu somo la kemistri. Hawatarudia tena kusoma yasiyowahusu. Watoto watukutu huwa hawapendi mambo ya shule.
MhuuuuHakuna mwanamke anayejielewa akaachika.
Hili lishangazi zuri kweli jeupee, sura nzuri umbo safi ila kichwani mmmmh
Lina mabinti wawili miaka 14 na 18, huwa wana tabia ya kushika simu yake na kusoma sms, mimi ni dizaini ya watu sijui kutumia tafsida, sasa huwa namtumia huyu shangazi SMS za ujinga mfano jinsi anavyojua kuzagamuana etc
Nilichokuja kugundua kila tunachochat mabinti zake wanasoma, hata akija kupelekewa moto wanajua
Nimeamua kumuacha kwa kutojua kutunza faragha
Basi mnalingana mkuu.Mi sio kijana nik9 above 35