Nipo kwenye mchakato wa kukusanya audio clips na video clips za hotuba za Hayati Magufuli

Nipo kwenye mchakato wa kukusanya audio clips na video clips za hotuba za Hayati Magufuli

Pendaelli

JF-Expert Member
Joined
Feb 13, 2014
Posts
11,050
Reaction score
31,412
Binafsi huwa nikipata nafasi ya kusali siachi kumuombea pumziko jema huko alipo hayati Magufuli .
Nimekuja kugundua baadhi hotuba zake nyingi zimekuwa mareje wakati huu tuliopo ingawa yeye aliongea jana!

Wakati huu wa ukuwaji wa teknolojia huwenda zikaja futwa katika mitandao tukazikosa kabisa.

Falsafa yake na aina ile ya uongozi wake binafsi naona ilikua ndio mwanzo wa hatua ya kuondokana bna umasikini na utegemezi kama taifa
Yeyote anaye zifuata namna zake za kiuongozi ambae kweli unafiki haupo ndani yake nina hakika atakubaliana nami.

Bado nazidi na kuendelea kuamini ule uongozi wake upo paused ipo siku utandeleq pale ulipo simamia.

 
Binafsi huwa nikipata nafasi ya kusali siachi kumuombea pumziko jema huko alipo hayati Magufuli .
Nimekuja kugundua baadhi hotuba zake nyingi zimekuwa mareje wakati huu tuliopo ingawa yeye aliongea jana!

Wakati huu wa ukuwaji wa teknolojia huwenda zikaja futwa katika mitandao tukazikosa kabisa.

Falsafa yake na aina ile ya uongozi wake binafsi naona ilikua ndio mwanzo wa hatua ya kuondokana bna umasikini na utegemezi kama taifa
Yeyote anaye zifuata namna zake za kiuongozi ambae kweli unafiki haupo ndani yake nina hakika atakubaliana nami.

Bado nazidi na kuendelea kuamini ule uongozi wake upo paused ipo siku utandeleq pale ulipo simamia.
Hongera....

Mwamba namkubali sana ila siwezi muombea, coz sijui namuombea nini na kwa nani.

J.P.M alikuwa na mapungufu mengi, ila alikuwa bora kuliko mazuzu yote yanayo/ Yaliowahi kuongoza Tanzania.

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Hilo la Clip za JPM kuondolewa mitandaoni nilishaliota na nina amini zitafutwa kwa wanaoweza zikusanya wazikusanye

sidhani kama zina miaka 20 mbele sidhani,maana uongozi wa JPM utarudi baada ya kizazi kilichopo madarakani kufutika chote hivyo ni jambo litakalochukua muda sana kujirudia
 
Back
Top Bottom