Nipo kwenye mchakato wa kukusanya audio clips na video clips za hotuba za Hayati Magufuli

Alidhamiria kumuuwa Lisu lakini Mungu mkubwa katwaliwa yeye.

Maswali mengine waulize familia ya Ben Saanane wamechukuliwa mke?
Yule kijana alivuka mipaka ya utovu wa nidhamu. Rais hachukuliwi poa namna ile! Wenye akili wanaelewa. Alikatazwa sana! Hakukoma akaendelea... tena wengine humohumo chamani mwao na ndugu, marafiki na jamaa zake. Ali-deserve alichokipata.

Rais ha-disrespect-iwi kivile!

SAWASAWA!
 
Kwahiyo Magufuli ni zaidi ya Nyerere?

Kweli mental illness is really.
Wapi kaongelewa nyerere hapo?!

Mbona unaenda kugusa mambo makubwa ambayo hayajatajwa hapo?!... We ni PhD holder kweli?! Au username tu?! 🤔🤔🤔 unatuangusha Komredi
 
Dah nimetoka machozi tena, Dkt Magufuli ataendelea kuishi mioyoni mwetu, ipo siku wanaomdhihaki na kumtusi watajibu. Alileta matumaini palipo na hudhuni, aliutuasa tufanye kazi kwa bidii na alisisitiza tumechelewa nchi yetu ni tajiri na siyo masikini!
 
Alidhamiria kumuuwa Lisu lakini Mungu mkubwa katwaliwa yeye.

Maswali mengine waulize familia ya Ben Saanane wamechukuliwa mke?
Saa nane na Lisu na wengine Dkt Magufuli hahusiki, waliohusika ndiyo hao unawasikia wakisema eti Mungu kajibu maombi. Ipo siku!
 
Saa nane na Lisu na wengine Dkt Magufuli hahusiki, waliohusika ndiyo hao unawasikia wakisema eti Mungu kajibu maombi. Ipo siku!
Watu maalum wenyewe wanaijua kazi yao. Sio lazima Magufuli awatume, huenda waliona hapa ni too-much! too far! Let us take an action! Tunaonekana ni useless!

Muulize huyo Dr. Wa mchongo "kwani mwanajeshi/wanajeshi (Maalum) hajui/hawajui wajibu wake/wao kwa raia, mtu/watu au Kikundi cha wakuni aidha raia au sio raia ambao/ambaye anaonekana anaelekea kusababisha uvunjifu wa amani kwenye nchi?!"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…