[emoji23][emoji23]Huna hela ndiyo maana umerudi kwa mkeo ila ukipata hela utaanza kuzagaa gest house na kondom mfukoni.
Naona unatuwekea profile yako sio.. Sio kila mwanaume lazima achepeku..Huna hela ndiyo maana umerudi kwa mkeo ila ukipata hela utaanza kuzagaa gest house na kondom mfukoni.
Kwa zawadi za 1,500/- kuna mchepuko atamuelewa?? Huyu kaishiwa kaamua arudi homeWewe si ndio yule ulisema hujawahi kumpenda mkeo? Kumbe shida ilikuwa michepuko...hongera sana kwa hatua hiyo
Kwani kuchepuka ni ajabu? Mimi nachepuka sana na hata mke wangu anajua na kaona kawaida.Naona unatuwekea profile yako sio.. Sio kila mwanaume lazima achepeku..
Mleta mada keshachepuka... Na huyu jamaa anamzungumzia mleta madaNaona unatuwekea profile yako sio.. Sio kila mwanaume lazima achepeku..
Nimempa jibu nasubiri arudi wala hajakosea.Mleta mada keshachepuka... Na huyu jamaa anamzungumzia mleta mada
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Huna hela ndiyo maana umerudi kwa mkeo ila ukipata hela utaanza kuzagaa gest house na kondom mfukoni.
Haha kwa kweli aiseeKwa zawadi za 1,500/- kuna mchepuko atamuelewa?? Huyu kaishiwa kaamua arudi home
Shemela, kaa kwenye nafasi ya mchepuko (mfano tu shemela bro asije akamdindi bure) halafu uletewe zawadi ya buku jero.... HUTAMMWAGA..???!! Huyu kamwagikaHaha kwa kweli aisee
Kwanza hawezi hata kufikiria kuniletea hiyo zawadi ya buku jeroShemela, kaa kwenye nafasi ya mchepuko (mfano tu shemela bro asije akamdindi bure) halafu uletewe zawadi ya buku jero.... HUTAMMWAGA..???!! Huyu kamwagika
[emoji3] [emoji3] [emoji3]Huna hela ndiyo maana umerudi kwa mkeo ila ukipata hela utaanza kuzagaa gest house na kondom mfukoni.
Kicheko cha uchochezi.[emoji3] [emoji3] [emoji3]
Hongera kwa kujitambua!,ata hao wachepukaji wakijitambua bila shaka watarudi njia kuu. Kummbuka kila mtu anaguswa kwa wakati wake.Mbona ulivyoanza kuchepuka ukutwambia?Hakika ile furaha niliyoikosa muda mrefu, sasa imerudi.
Tangu nilipoamua kuhamishia mapigo yangu kwa mke wangu na kuachana na michepuko, nimejikuta penzi letu linanoga siku hadi siku.
Kila nikitoka kazini lazima nimbebee mama watoto chochote hata kama ni cha 1,500 TSh.
Nikirudi nyumbani namkuta mwenye bashasha na hunipokea kwa furaha sana kiasi kwamba nazidi kumpenda kila nimuonapo.
Wanaume wenzangu nawakumbusha hakuna tuzo za kuwa na michepuko. Ni kupoteza muda na nguvu. Tuwapende wake zetu ndio wenye thamani kuliko watu wengine wowote
Hakika ile furaha niliyoikosa muda mrefu, sasa imerudi.
Tangu nilipoamua kuhamishia mapigo yangu kwa mke wangu na kuachana na michepuko, nimejikuta penzi letu linanoga siku hadi siku.
Kila nikitoka kazini lazima nimbebee mama watoto chochote hata kama ni cha 1,500 TSh.
Nikirudi nyumbani namkuta mwenye bashasha na hunipokea kwa furaha sana kiasi kwamba nazidi kumpenda kila nimuonapo.
Wanaume wenzangu nawakumbusha hakuna tuzo za kuwa na michepuko. Ni kupoteza muda na nguvu. Tuwapende wake zetu ndio wenye thamani kuliko watu wengine wowote