Nipo kwenye wakati mgumu na mama mwenye nyumba - Ep 2

Nipo kwenye wakati mgumu na mama mwenye nyumba - Ep 2

Babavos

Member
Joined
Nov 3, 2019
Posts
93
Reaction score
242
Nawasalim kwa jina la jmt...

Nilileta thread hapa kuomba ushauri kuhusiana na mama mwenye wangu kunipa wakati mgumu sasa hali naona ndo inazidi kuwa mbaya yani kama moto ndo kama umemwagia petrol kibaya zaidi kashapata na namba yangu baasi ma msg kila nishamuonya suala kunitafuta mimi siitaki utaniletea shida na bro jibu alilonipa ndo nimechoooka eti "Nakupenda, najua ni hatari ila nakupenda na mimi najua kama ni hatari"

Shida kubwa zaidi ananitishia kama sijatimiza anachokitaka atamwambia mmewe kuwa nimemtoongoza yaani namtaka simply ananichoma kwa jambo la uongo wtf

Aiseee nimechoka sana, nishaanza kutafuta nyumba nyingine ili nihame ijapokuwa najua sitopata sehemu tulivu kama hii ila for the sake of my life I have to leave soon
 
Ewe bosi ni bogasi kabisa

Anaongea na simu unayo tena smart na usimrekodi ashakum si matusi
Wmanangu unatuchora ujue
 
Steps entertainment one step ahead. Kitambo sana enzi za kanumba na bongo movie yake.
 
Ingekuwa mimi ningeangalia kama ni mzuri ningemla tu wala nisingeja kuomba ushauri. Nimesema ukweli wangu msinihukumu.
 
Nawasalim kwa jina la JMT...

Nilileta thread hapa kuomba ushauri kuhusiana na mama mwenye wangu kunipa wakati mgumu sasa hali naona ndo inazidi kuwa mbaya yani kama moto ndo kama umemwagia petrol kibaya zaidi kashapata na namba yangu baasi ma msg kila nishamuonya swala kunitafuta MIMI SIITAKIII UTANILETEA SHIDA NA BRO JIBU ALILONIPA NDO NIMECHOOOKA ETI "NAKUPENDA, NAJUA NI HATARI ILA NAKUPENDA NA MIMI NAJUA KAMA NI HATARI"

SHIDA KUBWA ZAIDI ANANITISHIA KAMA SIJATIMIZA ANACHOKITAKA ATAMWAMBIA MMEWE KUWA NIMEMTOONGOZA YAANI NAMTAKA SIMPLY ANANICHOMA KWA JAMBO LA UONGO WTF

Aiseee nimechoka sana .. nishaanza kutafuta nyumba nyingine ili nihame ijapokuwa najua sitopata sehemu tulivu kama hii ILA FOR THE SAKE OF MY LIFE I HAVE TO LEAVE SOON

Moderator unganisha na ile EP 01
Acha kututungia mastori chaliangu.
 
Sasa kama anakutumia msg hiyo si ithibati tosha ikiwa ataenda kukusingizia kwa mumewe. Muache akaseme, wewe kaa na ushahidi wako tayari.

Ila hili likisa lako ni la kutunga hata haliingii akilini.
 
Nawasalim kwa jina la JMT...

Nilileta thread hapa kuomba ushauri kuhusiana na mama mwenye wangu kunipa wakati mgumu sasa hali naona ndo inazidi kuwa mbaya yani kama moto ndo kama umemwagia petrol kibaya zaidi kashapata na namba yangu baasi ma msg kila nishamuonya swala kunitafuta MIMI SIITAKIII UTANILETEA SHIDA NA BRO JIBU ALILONIPA NDO NIMECHOOOKA ETI "NAKUPENDA, NAJUA NI HATARI ILA NAKUPENDA NA MIMI NAJUA KAMA NI HATARI"

SHIDA KUBWA ZAIDI ANANITISHIA KAMA SIJATIMIZA ANACHOKITAKA ATAMWAMBIA MMEWE KUWA NIMEMTOONGOZA YAANI NAMTAKA SIMPLY ANANICHOMA KWA JAMBO LA UONGO WTF

Aiseee nimechoka sana .. nishaanza kutafuta nyumba nyingine ili nihame ijapokuwa najua sitopata sehemu tulivu kama hii ILA FOR THE SAKE OF MY LIFE I HAVE TO LEAVE SOON

Moderator unganisha na ile EP 01
yusufu alimwambia mke wa potifa kitu kimoja tu. "nifanyeje dhambi hii nimkose Mungu?", uzinzi ni jambo linafanya watu wengi wanamkosa Mungu, hata kuwaza uzinzi tu inatosha kukutoa uweponi mwa Mungu, beware hata hoja mnatoa hapa ukiwa unahamasisha uzinzi wengine wakakosea kwasababu yako utalipwa kadiri ya ulivyoharibu jamii. nifanyeje ubaya wa namna hii nimkose Mungu? nifanyeje uzinzi nimkose Mungu? bora nikose vyote ila nisimkose Mungu. hii ndio iwe ombi la kila mmoja wetu.
 
Sása wewe unakatalia huo mshipi ili iweje? Kwani huo mshipi unamomonyoka kama sabuni?
 
Sasa kama anakutumia msg hiyo si ithibati tosha ikiwa ataenda kukusingizia kwa mumewe. Muache akaseme, wewe kaa na ushahidi wako tayari.

Ila hili likisa lako ni la kutunga hata haliingii akilini.
Au sio
 
Naomba namba zake nimkanye huyo maza hausi wako.
Atakuwa hakunwi ipasavyo na mumewe.
 
Back
Top Bottom