Unforgettable
JF-Expert Member
- Aug 1, 2019
- 5,584
- 12,461
Hahah hiyo mishangaz show zao vita na jeshini sijaendaTafuta lishangazi kama hawa miamba Poor Brain na KENZY liwe linakuliwaza ufungiwe ndan kama poor usije kuleta mada za upweke tena kama MaT2B
Hii vita mimi simo.Huyu bwana na back door ni ndugu uzi utanuka nyaaa humu usimuite bwana
π€£πOya we!huo mzigo dogo atatema bungoTafuta skanka uchome
KayaNdo nini hiyo?
Kiukweli hata mimi muda mwingi nakuwaga peke yangu hadi nawashangaza wengine ...........Comment ya maana umekuja kutoa mwishoni weka nyama sasa
Kwaiyo na wewe unagongaga mikono? πππKiukweli hata mimi muda mwingi nakuwaga peke yangu hadi nawashangaza wengine ...........
Nilipokuwa olevo niliwahi kuitwa na walimu wakaanza kuniuliza kama nachekagaaa ππππ coz nilikuwaga kivyangu vyangu sana, na ni mgumu sana kuconnect na watu hata kama ni wanaume wenzangu daah sema jeiefu nakuwaga mjanjaa mwenyewe πππ hiyo hali nimeshindwaga kupambana nayo sema nikaamua tu kukubaliana nayo mkuu
Hapana situmiagi hiyo kitu ila naishi kigumu inafikia hatua KIDUMU kinajaaa unakuwa ukiona kapaja kanachungulia ka female weew mjomba anasoma BOOMKwaiyo na wewe unagongaga mikono? πππ
Oya utakufa kiholo angaliaKiukweli hata mimi muda mwingi nakuwaga peke yangu hadi nawashangaza wengine ...........
Nilipokuwa olevo niliwahi kuitwa na walimu wakaanza kuniuliza kama nachekagaaa ππππ coz nilikuwaga kivyangu vyangu sana, na ni mgumu sana kuconnect na watu hata kama ni wanaume wenzangu daah sema jeiefu nakuwaga mjanjaa mwenyewe πππ hiyo hali nimeshindwaga kupambana nayo sema nikaamua tu kukubaliana nayo mkuu
Kiongozi mpaka Sasa ujakimbiza mwenge.....we kweli jasiriBado nawaza niyafanye or not as siipendi ila no way out π€£π€£π€£