Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ushaanza sasa 😂😂😂Nimepoa maghetoni leo mapema now kigiza kimeingia wacha nikasake chakula sasa
No friends
No girlfriends
No Love
Only me wacha tusake pesa
Kataa ndoa
Ndoa ni utapeli
Mpe njia za kuuondoa mkuu maana kasepa kaenda kudaka maandazi 😂😂😂Kuna njia nyingi za kuondoa huo upweke mkuu.
Nyeto ikiwemoKuna njia nyingi za kuondoa huo upweke mkuu.
AhahahahHata supu ya kongolo imeshindwa kuchangamana na wewe? Enh unasema kweli Andazi ?
apo anasubiri msamaria mwema yoyoteUmeshindwa kupata hata hakaView attachment 3078271
Daaah Andazi jibu apo 😂😂😂Umeshindwa kupata hata hakaView attachment 3078271
Mbembelezee andazi mkuuhuna faida😂😂
Anamsubir Andazi apiteapo anasubiri msamaria mwema yoyote
Unakuta na hako kanaringa eti nina mtu wanguuuUmeshindwa kupata hata hakaView attachment 3078271