dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,901
- 58,103
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unawaonea wivu 😃😃Wanajifanyaga wanapendanaaa haooo, me nawachoraga tu ngoja niwapige na kitu kizito cha ndoa yao waachane 😂😂😂
Nitafanya kwa juu chini waachane uoe wewe mkuu😂😂Unawaonea wivu 😃😃
Hiii 🤠Save hii picha kwa simu yako itakuwa inakusaidia ukiwa unapitia situation kama hiyo😄 huyo ni ticha mpwayungu
View attachment 3078294
Iyo imekaa vzr sass kijan si unywe ata togwa nije nilipeNitafanya kwa juu chini waachane uoe wewe mkuu😂😂
Hako apo kwenye picha juu hujakaona??Nampataje?
Tuma kwenye namba 0901117856 ili ninunue hiyo togwaIyo imekaa vzr sass kijan si unywe ata togwa nije nilipe
Usiwasumbue wahudumu wa afya.....huwa mzigo umekwama kwa ndani hauwezi kutoka nje tenaHahaha ila huyo kazidi sinasikia mloganzila wanaongeza makalio
Utaenda kutoa west unionT
Tuma kwenye namba 0746....01
Nenda kitambaa Che upe utafute campanionshipNimepoa maghetoni leo mapema now kigiza kimeingia wacha nikasake chakula sasa
No friends
No girlfriends
No Love
Only me wacha tusake pesa
Kataa ndoa
Ndoa ni utapeli
Mimi sipingi ushoga wala kusagana ilimradi nyumba yake, mwili na pesa anahaki ya kutumia atakavyo yeye mwisho wa siku wote kwa Mungu tutajua itakuwaje sababu sina uchungu na mtu mwingineTrust wanaume basi.
C naona hapo amesema yeye n kutafuta pesa tuuHata pesa zenyewe hana
We jamaa bwana daaah kwaiyo ashughulikie pesa sio 😂😂😂C naona hapo amesema yeye n kutafuta pesa tuu