Nipo mbioni kuwa star wa kijiji

Nipo mbioni kuwa star wa kijiji

Fene

JF-Expert Member
Joined
May 4, 2021
Posts
2,824
Reaction score
4,447
Aje Mazee

Hapa kijijini niishipo hapa hakuna kijana wa lika langu anaemiliki gari

Sasa ndugu bwana Fene nipo mbioni kumiliki gari

Nitakuja hapa WanaJf munipe muongozo

Nipo njiani kumiliki ndinga, nipo mbioni kuwa star wa Kijiji

Navuta picha hawa watoto wakali daah!

Yani itakuwa "Fene Fene Fene"
Itabidi tu nivimbe kwakweli

Kijana mwenzang nakushauri ukiona town ustar umekukataa kimbilia bush na wew ukavimbe, ila sikulazimish

Uzi tayari
 
Nikwel mkuu kwabei hii ya maharage naufuta lazima gari lilinunuliwe nawatu wavimbe
 
Au wewe ndio yule Nyanda Kabudi? anapenda kusema maneno ya ''Hizi ni za wachache,ogopaa,jidanganye'' coz nilimuona akiwa na Doto Magari,huenda anataka kuvuta ndinga.
 
Angalia usijekudhani upo kwenye ligi kumbe unaopambana nao wala hawapo kwenye ligi na wewe...

Na karne hii ya Uchawa na Wapambe unaweza gharamika kufuga watu /wadau kumbe ni makupe...

Anyway always huwa nasema to each his / her own..., chochote kinachokufanya upate usingizi wa pono, basi na ukifanye.... (its a price worth paying)
 
Nunua na Air defence system wachawi wataelekeza makombora yao ya masafa marefu kwako
 
Aje Mazee

Hapa kijijini niishipo hapa hakuna kijana wa lika langu anaemiliki gari

Sasa ndugu bwana Fene nipo mbioni kumiliki gari

Nitakuja hapa WanaJf munipe muongozo

Nipo njiani kumiliki ndinga, nipo mbioni kuwa star wa Kijiji

Navuta picha hawa watoto wakali daah!

Yani itakuwa "Fene Fene Fene"
Itabidi tu nivimbe kwakweli

Kijana mwenzang nakushauri ukiona town ustar umekukataa kimbilia bush na wew ukavimbe, ila sikulazimish

Uzi tayari
Kijijini ukiendelea kuliko wenzako hakikisha upo vizuri kiroho, vinginevyo watakutanguliza mbele za haki
 
Back
Top Bottom