Mgeni wa Jiji
JF-Expert Member
- Jul 27, 2017
- 9,758
- 18,431
Hahaha, nimecheka kifala sanaWachaga ndo wanakuwaga na hizi mambo
Utasikia 'Eliudi ana kagari ashakuwa kifaru'
UmenenaAngalia usijekudhani upo kwenye ligi kumbe unaopambana nao wala hawapo kwenye ligi na wewe...
Na karne hii ya Uchawa na Wapambe unaweza gharamika kufuga watu /wadau kumbe ni makupe...
Anyway always huwa nasema to each his / her own..., chochote kinachokufanya upate usingizi wa pono, basi na ukifanye.... (its a price worth paying)