Uaminifu ni mtaji toshaWatu kama nyie kwenye dunia leo iliyokosa uaminifu ndo mnahtajika, tatzo la uaminifu ni 2 sided, wewe utaonesha uaminif ila kaz ipo kwa mwenzako, wapo watakaoagza kwa tamaa wakifka ubungo wanaleta essay baada ya pesa. Ila niwaambie wadau biashara/Maisha ya leo ukiwa tapeli na ujanja ujanja mwing nakuambia utasubr sana
Niulizie iriki Toka tanga wananunuaje hapo kwa kg tunaweza bonga zaidi pm ukipata majibu mkuuItaje
[emoji23][emoji23]Niletee mke kama wa kiba nasikia alimpatia huko Mombasa
Dah ok poa....njoo pm tutajenge zaidiUpo sahihi sana mkuu Ila pia nilikuwa nakutafuta sana kuhusu issue za mwani nitakujia in box
0715591141 nicheki piaUpo sahihi sana mkuu Ila pia nilikuwa nakutafuta sana kuhusu issue za mwani nitakujia in box
Kwani we ndio ktk wale wala chipsi kuku was Dar?