Tayukwa
JF-Expert Member
- Dec 11, 2014
- 2,178
- 4,410
Kama bango linavyosomeka hapo juu weka order ya bidhaa uitakayo ambayo kama itakuwa ndani ya uwezo wangu nitakuletea mpaka DSM Ubungo kisha utanilipa gharama yake ya hiyo bidhaa.
Ukiwa seriously ni PM uniambie bidhaa gani na wewe utailipia kwa gharama gani.
Ukiwa seriously ni PM uniambie bidhaa gani na wewe utailipia kwa gharama gani.
Last edited by a moderator: