Nipo Mombasa narudi kesho Jumapili, niagize bidhaa yoyote ya halali unilipe nikifika nayo Dar

Nipo Mombasa narudi kesho Jumapili, niagize bidhaa yoyote ya halali unilipe nikifika nayo Dar

Niulizie iriki Toka tanga wananunuaje hapo kwa kg tunaweza bonga zaidi pm ukipata majibu mkuu

Ova
Ukiwa na maana kuwa wewe upo tanga na unataka kuzileta huku?
 
Ukiwa na maana kuwa wewe upo tanga na unataka kuzileta huku?
Nlikuwa tanga Milima ya usambara nilichukua iriki Huko nkaleta dar ila naskia mombasa kuna soko zuri na iriki nimefumania chimbo Huko tanga upatikanaji wake....nataka nijue zaidi soko la mombasa mkuu
Kuhusu mwani Mafia iko ya kutosha kujipanga tu

Ova
 
nia yaweza kuwa njema, lakini umejiandaa kwa Shukrani na LAWAMA?
una kifua hicho?
 
oooooooooooops!! Ahsante Mungu. sijaona aliyeagiza KY Jelly. Mungu mkubwa!!!!
 
Kuna wadau wakubwa km watatu hivi ambayo huagiza hizo hiriki, naendelea kuwapeleleza ili wanipe bei halisi wanayo nunulia wao bila ya kuninyonya km nitajisema moja kwa moja. Mambo yakiwa sawia nitakujuza na hata contacts zao nitakupatia.
Nlikuwa tanga Milima ya usambara nilichukua iriki Huko nkaleta dar ila naskia mombasa kuna soko zuri na iriki nimefumania chimbo Huko tanga upatikanaji wake....nataka nijue zaidi soko la mombasa mkuu
Kuhusu mwani Mafia iko ya kutosha kujipanga tu

Ova
 
Kuna wadau wakubwa km watatu hivi ambayo huagiza hizo hiriki, naendelea kuwapeleleza ili wanipe bei halisi wanayo nunulia wao bila ya kuninyonya km nitajisema moja kwa moja. Mambo yakiwa sawia nitakujuza na hata contacts zao nitakupatia.
Poa....tutapiga kazi pamoja usiogope

Ova
 
Back
Top Bottom