Buyuni Kwetu
JF-Expert Member
- Sep 29, 2013
- 2,120
- 2,153
Huyo ni mdada na inaonekana alienda huko akiwa na mambo ya Dar. Aliposema Mr akamwambia atazoea tu ni mume wake. Inaonekana mume wake alimsindikiza kwenda huko Mtwara.Kama sio ke huyo basi atakuwa ameleft group.....ndiyo wenye mapozi ya kinyodonyodo hivi. Mlume ndago wa kweli hawezi kuongea ujinga kama huo. Mtwara sote tunaijua
Halafu ukionA mtu anaihusisha dar katika kuponda kwake mji flani basi jua kwamba hilo ni lishamba flani linatoka porini huko.
Hv pale alipotamka "Mr" mmemuelewaje huyu?!!
Kumbe una akili za kijiñga, unalilia bodaboda? Ukikua utaona pazuri tuu,Nikipata usafiri wangu ndo ntazoea! Usafiri shida sana huku boda boda unamtafuta kwa Tochi.. muda unamuhitaji akuwaishe Hahaha unampigia anakwambia yupo kwenye mashamba ya chunvi😄 yani ni vioja kuna siku hadi nililia
Hafahamu hayo, nimeishi huko miaka ya 1998 hadi 2002 ingekuwa ni yeye sijui angesemaje!!! Analalamika Mtwara ya 2025!!!Huijui Mtwara ya miaka hiyo kabla ya daraja la Mkapa, Mtwara ya sasa iko juu sana na ina fursa ikiwemo korosho. Kulikuwa na mradi wa maji ya kutoka ndanda nafikiri ambayo si ya chumvi, usafiri kuja Dar ni kugusa tu.....unataka nini zaidi dada.
NdunduKipindi ambacho watu walikuwa wanalal darajani kwa mkapa kusubiri kivuko
Sehemu yoyote kama sio mwenyeji kupata huduma lazima uteseke, hata Dar waweza kutembea unatafta huduma ya mpesa au mtandao mwingine lkn kila kibanda unafikia utaambiwa sina float, labda kama unatuma au kutoa chini ya laki 1, mpaka uje kumfahamu mwenye float ya uhakika ulishachoka.Vingi alivyosema ni uongo tatizo lake haijui mtwara na hajatembea, eti anasema hadi huduma za kifedha ni shida!. Huyu alikuja na dar es salaam yake kichwani
Hilo kwenye kuloga hilo huenda Ni kweliAnayo ongea mtoa mada ni kweli tupu mtwara sio mkoa ule ni kijiji kilichopewa hadhi ya mkoa
MTWARA SASA HIVI WAPO MWAKA 1997 WAKATI MIKOA MINGINE IPO 2025
KULE KAMA NI MFANYAKAZI WA SERIKALI UNAKUFA NJAAA
ILA UKIPATA GAP LA KUPIGA HELA UNAPIGA KWELI.
KWELI CHAKULA NI JUU WAZEEE WANGU . BAHARI IPO HAPO LAKIN SAMAKI UTASHANGAAA BEI NI KUBWA KUKIKO MBEYA AMBAPO HAKUNA BAHARI.
NAULI ZINA COAST SANA MANA NI BODA BODA TU
ALAFU WANATAMAA UTASIKIA KUTOKA MKANALED HADI MANGAMBA BUKU 2 YANI NENDA RUDI NI BUKU 4 WAKATI KUNGEKUWA NA DALADALA INGEKUWA NENDA RUDI NI BUKU TU.
ndizi za elfu 2 ni ndizi nne tu mpaka tano bukoba wakati maneo mengine hizo ni ndizi za buku
Ndizi za kuiva mnazonunua huko dar 200 hadi 150 huku mtwara ndizi ni 400 mpaka 500
Lakin kikubwa huku hakuna mazao ya kula mana huku wanalima korosho na ufuta pamoja na mbaazi tu
Mtwara maisha magumu zaidi ya jangwani au kuzimu.
Picha linaanza maji yao ya chumvi ! Ukitaka ya kunywa uwe na kisima chako ukinge ya mvua au ununue maji ndanda ndoo kubwa elfu 2.
Alafu kingine mtwara vijana wanaroga sana maninaaaaa
Yeah, itakuwa hovyoHuyo ni mdada na inaonekana alienda huko akiwa na mambo ya Dar. Aliposema Mr akamwambia atazoea tu ni mume wake. Inaonekana mume wake alimsindikiza kwenda huko Mtwara.
Dogo, mbona unakuwa muongo hivi, ni Mtwara gani uliyoenda wewe?Tangu nifike Mtwara miezi kadhaa iliyopita, mambo ninayokutana nayo sikuyategemea kabisa. Picha inaanza wakati nakuja kuripoti, ile nafika bus stand ya Mkanaredi naambiwa hapa ndiyo Manispaa ya Mikindani na ndiyo mjini.
Sikuamini! Mr. akanitia moyo na kuniambia nitazoea mazingira. Nikasema, "Sawa, maadam ni mjini, kitu cha msingi ni huduma."
Tukachukua lodge (na lodge zenyewe maji hayatoki, wanategemea maji ya mvua... yani ni tafrani tupu!). To cut a long story short, maisha ya Mtwara ni magumu kwenye nyanja zote! Maji ni shida, bei ya vitu iko juu sana kuliko hata Dar es Salaam, na miundombinu hafifu inafanya usafiri kuwa wa tabu.
Huduma za kifedha ni chache na ziko mbali, yani kulala au kushinda njaa ukiwa na hela mfukoni ni kitu cha kawaida sana hapa!
Ikifika saa 3 usiku, barabarani ni nyeupe kabisa—huoni mtu, na maduka yanafungwa mapema. Viwanja vipo, lakini The Shooters ndicho kiwanja pekee nilichoelewa, na nikiwa hapo najihisi kama niko Dar es Salaam.
Serikali ni kama imeususa kabisa huu mkoa!
Ondoa fikra za "Dar ndo kila kitu" utazoea tu. Binafsi nafikiri mapungufu uliyoyaona ndo fursa kwako. Kama kuna upungufu wa vyakula, fanya biashara ya vyakula ili ujiingizie kipato, kama huduma za kifedha ziko chache basi fungua biashara za huduma za kifedha (M-PESA, Airtel money, Mixx by yas, halopesa, CRDB, NMB, equity, exim n.k) ili ujiingizie kipato cha ziada. Badilisha mtazamo, hizo changamoto zilizopo zibadilishe kuwa fursa.Tangu nifike Mtwara miezi kadhaa iliyopita, mambo ninayokutana nayo sikuyategemea kabisa. Picha inaanza wakati nakuja kuripoti, ile nafika bus stand ya Mkanaredi naambiwa hapa ndiyo Manispaa ya Mikindani na ndiyo mjini.
Sikuamini! Mr. akanitia moyo na kuniambia nitazoea mazingira. Nikasema, "Sawa, maadam ni mjini, kitu cha msingi ni huduma."
Tukachukua lodge (na lodge zenyewe maji hayatoki, wanategemea maji ya mvua... yani ni tafrani tupu!). To cut a long story short, maisha ya Mtwara ni magumu kwenye nyanja zote! Maji ni shida, bei ya vitu iko juu sana kuliko hata Dar es Salaam, na miundombinu hafifu inafanya usafiri kuwa wa tabu.
Huduma za kifedha ni chache na ziko mbali, yani kulala au kushinda njaa ukiwa na hela mfukoni ni kitu cha kawaida sana hapa!
Ikifika saa 3 usiku, barabarani ni nyeupe kabisa—huoni mtu, na maduka yanafungwa mapema. Viwanja vipo, lakini The Shooters ndicho kiwanja pekee nilichoelewa, na nikiwa hapo najihisi kama niko Dar es Salaam.
Serikali ni kama imeususa kabisa huu mkoa!
Safi. Mawazo mazuri. Nitayafanyia kazi inshallahOndoa fikra za "Dar ndo kila kitu" utazoea tu. Binafsi nafikiri mapungufu uliyoyaona ndo fursa kwako. Kama kuna upungufu wa vyakula, fanya biashara ya vyakula ili ujiingizie kipato, kama huduma za kifedha ziko chache basi fungua biashara za huduma za kifedha (M-PESA, Airtel money, Mixx by yas, halopesa, CRDB, NMB, equity, exim n.k) ili ujiingizie kipato cha ziada. Badilisha mtazamo, hizo changamoto zilizopo zibadilishe kuwa fursa.
Huna akiliKama sio ke huyo basi atakuwa ameleft group.....ndiyo wenye mapozi ya kinyodonyodo hivi. Mlume ndago wa kweli hawezi kuongea ujinga kama huo. Mtwara sote tunaijua
Halafu ukionA mtu anaihusisha dar katika kuponda kwake mji flani basi jua kwamba hilo ni lishamba flani linatoka porini huko.
Hv pale alipotamka "Mr" mmemuelewaje huyu?!!
Tutumie picha ya kituo kikuu cha mabasi hapo mtwara mjini..Dogo, mbona unakuwa muongo hivi, ni Mtwara gani uliyoenda wewe?