Nipo Mwanza sasa, natafuta mwanamke

Nipo Mwanza sasa, natafuta mwanamke

fimboyaukwaju

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2020
Posts
2,977
Reaction score
3,798
Natafuta mwanamke, msafi msiri, asiwe mke wa mtu, ili nispendi nae kwa wiki 2, kila kitu kwa gharama zangu. asiwe malaya anayejiuza, asiwe mlevi wa kupindukia, awe anayejitambua, akiwa mjasiriamali au mtumishi ni sawa, na msingi wa kuwa pamoja ni furaha, amani, starehe
 
Natafuta mwanamke,msafi msiri,asiwe mke wa mtu,ili nispendi nae kwa wiki 2,kila kitu kwa gharama zangu.asiwe malaya anayejiuza,asiwe mlevi wa kupindukia,awe anayejitambua,akiwa mjasiriamali au mtumishi ni sawa,na msingi wa kuwa pamoja ni furaha,amani,starehe
Hapo umefeli..hizo sifa zote haziwezi kutimia kwa mwanamke yoyote la awe malaya.

#MaendeleoHayanaChama
 
Kaa na dada zako, pamoja na mama yako mzazi, kisha waulize hilo swali.

Usisahau kutuletea mrejesho!
Wee jamaa unashangaza sana....sasa niwaulize wa nini kwani umeambiwa nataka confirmation wakati haya ni maoninyangu na beliefs zangu mwenyewe.
 
Weka dau mkuu, labda kwa wiki hizo mbili ataondoka na milioni 2; watakuja kwa haraka zaidi
 
Wee jamaa unashangaza sana....sasa niwaulize wa nini kwani umeambiwa nataka confirmation wakati haya ni maoninyangu na beliefs zangu mwenyewe.
Samahani, sikujua kama tayari una uhakika mkuu? Wanauzia wapi niwachangie?
 
Kwani kuna mwanamke ambaye sio malaya
Itakuwa bado hujajua tafsiri ya neno malaya, chukua hii


Nomino

malaya

mwanamke anayeuza mwili wake kwa wanaume kimapenzi

Visawe

kahaba

changudoa

kiberenge

Tafsiri

Kiingereza: prostitute
 
Natafuta mwanamke,msafi msiri,asiwe mke wa mtu,ili nispendi nae kwa wiki 2,kila kitu kwa gharama zangu.asiwe malaya anayejiuza,asiwe mlevi wa kupindukia,awe anayejitambua,akiwa mjasiriamali au mtumishi ni sawa,na msingi wa kuwa pamoja ni furaha,amani,starehe
Duh
 
Back
Top Bottom