SMART GHOST
JF-Expert Member
- Feb 3, 2020
- 2,657
- 10,356
Nimekuelewa binamu!Mkuu, uwe unaangalia watu wa kuwajibu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimekuelewa binamu!Mkuu, uwe unaangalia watu wa kuwajibu
Mbona bado unamtafuta MALAYA halafu unasema asiwe MAYALANatafuta mwanamke,msafi msiri,asiwe mke wa mtu,ili nispendi nae kwa wiki 2,kila kitu kwa gharama zangu.asiwe malaya anayejiuza,asiwe mlevi wa kupindukia,awe anayejitambua,akiwa mjasiriamali au mtumishi ni sawa,na msingi wa kuwa pamoja ni furaha,amani,starehe
Nipo mkuu, u hali gani?Mkuu upo "inji" hii?
Ni buheri wa afya mkuu.Haina hatari.Nipo mkuu, u hali gani?
Nakujulisha nimepata dada mmoja ni mlemavu ana mguu mmoja tu,ni graduate wa hr ila anauza samaki.ndio nipo nae,kila siku mida ya aaa 11 jioni namuendea kwenye kijiwe chake na tunakuja hapa hotelini kwanguKaa na dada zako, pamoja na mama yako mzazi, kisha waulize hilo swali.
Usisahau kutuletea mrejesho!
Nakujulisha nimepata dada mmoja ni mlemavu ana mguu mmoja tu,ni graduate wa hr ila anauza samaki.ndio nipo nae,kila siku mida ya saa 11 jioni namuendea kwenye kijiwe chake na tunakuja hapa hotelini kwangu
AsanteKila lakheri.