shadrackAmri
JF-Expert Member
- Oct 27, 2023
- 275
- 4,064
pesa ndefu sana hiimilioni 10000000
kwani ilikua inapangwa na kina nani??Kumbe mahari Siku hizi inapangwa na muolewaji?
Hongera sana Binti ππππ
Ooooh nafurahi ulivosema na mi ni miongoni mwa wapambanaji..Hata, sio tajiri. Ni mpambanaj kama weweπ€
π πKumbe mahari Siku hizi inapangwa na muolewaji?
Hongera sana Binti ππππ
10M daaah aiseeee huyo mtu atakua ana shida sio πππHata kama sealed ni ushenzi
10M ya nyokwee...10M daaah aiseeee huyo mtu atakua ana shida sio πππ
Wewe nipo dasalam nakula maisha kama hutaki basi ππππ[emoji23][emoji23][emoji23] amka dogo, utakojoa hewa.
Mxiiieew
Ilikuwa inapangwa na Wazee wa binti muolewaji. Yeye anapewa taarifa tukwani ilikua inapangwa na kina nani??
kwahiyo binti hapewi kitu chochote???Ilikuwa inapangwa na Wazee wa binti muolewaji. Yeye anapewa taarifa tu
πππππ Anatupanga huyu10M ya nyokwee...
Kiasi Fulani Babu...Hujambo Mjukuu?
You are real missed π€
Binti hapewi chochote isipokuwa sehemu ya hela ya mahari inatumika kumfanyia send off ya kumuaga, na kiasi kutumika kama hela ya masafirisho akiwa anaenda Kwa mumewe baada ya Ndoakwahiyo binti hapewi kitu chochote???
Ila amesema Anawaza...ngoja aendelee kuwaza π π ππππππ Anatupanga huyu
πππYajayo yanafurahisha aiseeeIla amesema Anawaza...ngoja aendelee kuwaza π π π
Pole sana Mjukuu, I didn't know thisKiasi Fulani Babu...
Nimezika mama mzaziπ