Nipo Njia Panda, Nipeni Mawazo yenu!

Nipo Njia Panda, Nipeni Mawazo yenu!

M ninaushahidi wa kutosha kuna kenge mmoja nilimvumilia kwa kila hali alipokuwa advance lakini alikuja kwenda chuo aiseee had Leo siamini. Hisia za mapenzi zisikuforce kuchukua maamuz ambayo siyo magumu tumia kichwa cha juu kuamua kijana.

Kila la kheri na masomo ya chuo
Amina Kaka, Barikiwa
 
Nje ya boom una kipato kingine!? Unakaa wapi,, kiwanja unacho,, usafr gan watumia,, kipi kingne anachokifurahia kutoka kwako zaid ya kitanda!? Kama majibu ni ndiyo asilimia 90 mfikilie,, kama hakuna jifikilie
 
Natamani siku zirudi nyuma ili na mimi niwe 23yrs nirekebishe nilipokosea lakini ndio hivo haiwezekani (kwa sauti ya upelo) lakini mbinguni lazima niende
 
Nje ya boom una kipato kingine!? Unakaa wapi,, kiwanja unacho,, usafr gan watumia,, kipi kingne anachokifurahia kutoka kwako zaid ya kitanda!? Kama majibu ni ndiyo asilimia 90 mfikilie,, kama hakuna jifikilie
Asante sana
 
Nakukumbusha; Haya mambo hayana formulae ndugu yangu.


Sikiliza moyo ili utakapo fanya maamuzi usi-regret
 
mkuu endelea nae ndio gap sahihi kabisa la kuoana (age difference ) na hadi mki settle mitihani yote atakua amepitia so you make the right choice hayo ya wazazi sijui financial freedom nyinyi wawili ndio mnaamua kma demu amekuzimia it enough
 
mkuu endelea nae ndio gap sahihi kabisa la kuoana (age difference ) na hadi mki settle mitihani yote atakua amepitia so you make the right choice hayo ya wazazi sijui financial freedom nyinyi wawili ndio mnaamua kma demu amekuzimia it enough
Mkuu umepiga Bonge la Hesabu, Big up!
 
Back
Top Bottom