Nipo Njia Panda, Nipeni Mawazo yenu!

Amina Kaka, Barikiwa
 
Nje ya boom una kipato kingine!? Unakaa wapi,, kiwanja unacho,, usafr gan watumia,, kipi kingne anachokifurahia kutoka kwako zaid ya kitanda!? Kama majibu ni ndiyo asilimia 90 mfikilie,, kama hakuna jifikilie
 
Natamani siku zirudi nyuma ili na mimi niwe 23yrs nirekebishe nilipokosea lakini ndio hivo haiwezekani (kwa sauti ya upelo) lakini mbinguni lazima niende
 
Nje ya boom una kipato kingine!? Unakaa wapi,, kiwanja unacho,, usafr gan watumia,, kipi kingne anachokifurahia kutoka kwako zaid ya kitanda!? Kama majibu ni ndiyo asilimia 90 mfikilie,, kama hakuna jifikilie
Asante sana
 
Nakukumbusha; Haya mambo hayana formulae ndugu yangu.


Sikiliza moyo ili utakapo fanya maamuzi usi-regret
 
mkuu endelea nae ndio gap sahihi kabisa la kuoana (age difference ) na hadi mki settle mitihani yote atakua amepitia so you make the right choice hayo ya wazazi sijui financial freedom nyinyi wawili ndio mnaamua kma demu amekuzimia it enough
 
mkuu endelea nae ndio gap sahihi kabisa la kuoana (age difference ) na hadi mki settle mitihani yote atakua amepitia so you make the right choice hayo ya wazazi sijui financial freedom nyinyi wawili ndio mnaamua kma demu amekuzimia it enough
Mkuu umepiga Bonge la Hesabu, Big up!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…