Amina Kaka, BarikiwaM ninaushahidi wa kutosha kuna kenge mmoja nilimvumilia kwa kila hali alipokuwa advance lakini alikuja kwenda chuo aiseee had Leo siamini. Hisia za mapenzi zisikuforce kuchukua maamuz ambayo siyo magumu tumia kichwa cha juu kuamua kijana.
Kila la kheri na masomo ya chuo
Asante sanaNje ya boom una kipato kingine!? Unakaa wapi,, kiwanja unacho,, usafr gan watumia,, kipi kingne anachokifurahia kutoka kwako zaid ya kitanda!? Kama majibu ni ndiyo asilimia 90 mfikilie,, kama hakuna jifikilie
Mkuu una maana ganiNatamani siku zirudi nyuma ili na mimi niwe 23yrs nirekebishe nilipokosea lakini ndio hivo haiwezekani (kwa sauti ya upelo) lakini mbinguni lazima niende
Kiaje MkuuPlay double chance mkuu
Hii nimefanya siku nyingi baada ya kutaka kunizingua
Jiulize kwann mliambiwa muishi na sisi kwa akiliAisee kwanini
Na hautafanikiwaNina nia ya dhati ya kumuoa mkuu ila sina imani kama nitafanikiwa
Nimekuelewa sana, Natimiza Hili Jambo Mapema sanaMpe Mimba ikiwezekana mapacha kisha mwooe acha ujinga mingi
Asante Mwanangu, Nimekunote vizuri sanaNakukumbusha; Haya mambo hayana formulae ndugu yangu.
Sikiliza moyo ili utakapo fanya maamuzi usi-regret
Mkuu fanya kunicheki, naona una madini adhimu ya kunipaJiulize kwann mliambiwa muishi na sisi kwa akili
Mkuu umepiga Bonge la Hesabu, Big up!mkuu endelea nae ndio gap sahihi kabisa la kuoana (age difference ) na hadi mki settle mitihani yote atakua amepitia so you make the right choice hayo ya wazazi sijui financial freedom nyinyi wawili ndio mnaamua kma demu amekuzimia it enough
Pamoja MwambaAsante Mwanangu, Nimekunote vizuri sana