ubongokid
JF-Expert Member
- Apr 30, 2017
- 2,154
- 4,184
Nicheck PMHabarini wanazengo
Kama kichwa cha habari kinavyojielezea niko njia pandaaah!!
Nimefanikiwa kumaliza diploma in procurement and supply management nimejaribu kutafuta kazi sijapata mpaka sasa although nimejiajiri Ila kabiashara hakapo very strong kakusema niendeleze gurudumu la maisha
Short story
Nimemaliza form4 2014, 2015 nikawa na mipango ya kukwea pia ikafeli ila mungu si athumani nikampata sponsor’ akanipromise kunisomesha mpaka nichoke mwenyewe’ alhamdulillah nimemaliza diploma june mwaka huu kwa gpa ya second class. Mwezi wa nne mwaka huu akaniacha solemba[emoji24][emoji24] msgs anasoma ila HAJIBU nikimpigia kwa namba yoyote akijua ni mm tu anakata simu na block juu (sijui chanzo ni nn) na nategemea kwenda bachelor yeye ndio tegemeo langu,
Nikashauriwa nimnywee kojo, nimekunywa wiki nzima hamna lolote lilobadilika hali ni ile ile
Sasa ombi langu[emoji19] kwa anaefahamu MGANGA wa kweli jamani (nb: matapeli jamani please stay away sina hata ela)
Anisaidie nimrudishe huyu sponsor kwani bado nina ndoto za kuendelea kusoma
Nipo dar nahitaji mganga wa sehemu za karibu (dar/pwani/morogoro/tanga/mtwara) hizo ndio sehem naweza kuafford kufika.
Please awe wa uhakika
Nb: KILA MTU NA IMANI YAKE....