Nipo njia panda

Nicheck PM
 

Hahaha
Nilikutana nae tu sehemu.. ni kiongozi flani flani hivi
(Simlazimishi ila kwann abreak the promise bila sababu maalumu wakati ashanitumia sana tu[emoji24]
 

Kila siku naomba maybe ipo siku Mungu atasikia maombi yangu[emoji1431]
 

Mmh hapo kwenye kupelekana hapana’ ila ukiniconnectia na huyo wa tanga itakua vizuri zaidi
 
Hahaha
Nilikutana nae tu sehemu.. ni kiongozi flani flani hivi
(Simlazimishi ila kwann abreak the promise bila sababu maalumu wakati ashanitumia sana tu[emoji24]
Pole sana, kumbe kakutumia sana, samehe piga hatua nyingine, huwezi jua Mungu anakuepusha nini
 
Noma sana!
 
Jf, ina v2ko sana!
 
Mpe namba za Mzee Palwa..Acha kubana..We mbona kakusaidia.[emoji12]
 
Mkojo wako??....nani alikushauri??..
 
Mpe namba za Mzee Palwa..Acha kubana..We mbona kakusaidia.[emoji12]
Hahhaaa tena mzee palwa atamsaidia sana tatizo ile hirizi tu kiunoni ataweza kuivaa
 
Hahaha
Nilikutana nae tu sehemu.. ni kiongozi flani flani hivi
(Simlazimishi ila kwann abreak the promise bila sababu maalumu wakati ashanitumia sana tu[emoji24]
Ndogo imepona?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…