Labda kaona papuchi yako sio tamuHahaha
Nilikutana nae tu sehemu.. ni kiongozi flani flani hivi
(Simlazimishi ila kwann abreak the promise bila sababu maalumu wakati ashanitumia sana tu[emoji24]
Hakuna mganga zaidi mungu piga goti fanya maombi kwasana mambo yatakuwa mazuri
Kwahio mlikuwa wapenzi au niseme friend of benefit, kama mlifikia stage hio nahakika alikuwa akikupatia hela. Ulijaribu kusave hizo hela za kuhongwa kama akiba au ndio ulipata danga ukawa unakula bata. Palipo bakia jikaze umalize mwenyeweHahaha
Nilikutana nae tu sehemu.. ni kiongozi flani flani hivi
(Simlazimishi ila kwann abreak the promise bila sababu maalumu wakati ashanitumia sana tu[emoji24]
[emoji23][emoji23][emoji2][emoji23][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Ukitukuta kwenye jukwaa letu tumetulia kazi yako ni kukutukumbusha kua Uturuki wanazalisha umeme kwa upepo wa mabasi.
Kumbe wewe mwenyewe ni mshirikina tapeli.
Poa poa mzee babaNimekucheck inagoma naomba ni pm wewe
Teh..Mzee alegeze masharti kidogo..Hiki kipengele cha hirizi ya kiunoni inamkosesha wateja wengi..Hahhaaa tena mzee palwa atamsaidia sana tatizo ile hirizi tu kiunoni ataweza kuivaa
Huo mdomo si utakuwa unatema sanaKojo hilo kaboom
Kamgeuza mwenzie sponsor,wala hasikitiki kukosa huba...bali benwfits nyingine nyingine.Hakuna mganga zaidi mungu piga goti fanya maombi kwasana mambo yatakuwa mazuri
Maisha haya changamoto sana.
Wewe mtu kakusaidia bila kumroga, kakufikisha sehemu nzuri tu. Leo unataka kumroga ili akusaidie!
Huyo sponsor kakuacha baada ya kuona hujitambui, na inawezekana aliona viashiria vya ushirikina.
Mama mtwara huku hakuna waganga nenda gambosh.... Kwani wale 900 waliomkingia kifua jiwe hujawaona?Habarini wanazengo
Kama kichwa cha habari kinavyojielezea niko njia pandaaah!!
Nimefanikiwa kumaliza diploma in procurement and supply management nimejaribu kutafuta kazi sijapata mpaka sasa although nimejiajiri Ila kabiashara hakapo very strong kakusema niendeleze gurudumu la maisha
Short story
Nimemaliza form4 2014, 2015 nikawa na mipango ya kukwea pia ikafeli ila mungu si athumani nikampata sponsor’ akanipromise kunisomesha mpaka nichoke mwenyewe’ alhamdulillah nimemaliza diploma june mwaka huu kwa gpa ya second class. Mwezi wa nne mwaka huu akaniacha solemba[emoji24][emoji24] msgs anasoma ila HAJIBU nikimpigia kwa namba yoyote akijua ni mm tu anakata simu na block juu (sijui chanzo ni nn) na nategemea kwenda bachelor yeye ndio tegemeo langu,
Nikashauriwa nimnywee kojo, nimekunywa wiki nzima hamna lolote lilobadilika hali ni ile ile
Sasa ombi langu[emoji19] kwa anaefahamu MGANGA wa kweli jamani (nb: matapeli jamani please stay away sina hata ela)
Anisaidie nimrudishe huyu sponsor kwani bado nina ndoto za kuendelea kusoma
Nipo dar nahitaji mganga wa sehemu za karibu (dar/pwani/morogoro/tanga/mtwara) hizo ndio sehem naweza kuafford kufika.
Please awe wa uhakika
Nb: KILA MTU NA IMANI YAKE....
Mwenzangu hilo kojo wanasema unaweka kwa kizibo cha chupa ya Maji safi au juice zile unataja jina la huyo mtu mara saba kisha unasema utakacho afanye huyo bwana....... Huko kwenye magroup ya whatsapp Kuna kasheshe kwelikweliHebu subiri, kumnywea kojo ndio kufanyaje?