Nipo njia panda

Nipo njia panda

Sema tu unataka mganga, sikuhizi mganga yuko Kigoma ana kusomea kisomo kwa what’s app.
 
Hahaha
Nilikutana nae tu sehemu.. ni kiongozi flani flani hivi
(Simlazimishi ila kwann abreak the promise bila sababu maalumu wakati ashanitumia sana tu[emoji24]
Kwahio mlikuwa wapenzi au niseme friend of benefit, kama mlifikia stage hio nahakika alikuwa akikupatia hela. Ulijaribu kusave hizo hela za kuhongwa kama akiba au ndio ulipata danga ukawa unakula bata. Palipo bakia jikaze umalize mwenyewe


Ndukiiiii 🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
 
Hahahaha...

Umemnywea kojo... hahaha... wewe utakua unatabia za visiwani...


Cc: mahondaw
 
Ukitukuta kwenye jukwaa letu tumetulia kazi yako ni kukutukumbusha kua Uturuki wanazalisha umeme kwa upepo wa mabasi.

Kumbe wewe mwenyewe ni mshirikina tapeli.
[emoji23][emoji23][emoji2][emoji23][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
kwani kuna mtu anateseka ?
 
Hahhaaa tena mzee palwa atamsaidia sana tatizo ile hirizi tu kiunoni ataweza kuivaa
Teh..Mzee alegeze masharti kidogo..Hiki kipengele cha hirizi ya kiunoni inamkosesha wateja wengi..
 
Hakuna mganga zaidi mungu piga goti fanya maombi kwasana mambo yatakuwa mazuri
Kamgeuza mwenzie sponsor,wala hasikitiki kukosa huba...bali benwfits nyingine nyingine.
 
Nipo mganga special kwa case yako. Huitaji kuumizwa kichwa mdada.. Unachotakiwa kufanya ni kuja nyumban salasala haraka ipasavyo ili tiba ianze. Njo na nguo za kubadirisha maana tiba itachukua km siku mbl tatu. Hakikisha chura (Tako) ipo maana mizimu inapenda sana chura. Huitaji kubeba Chu....p ata moja. Njoo na nguo za nje pekeeeee
 
Jamani excuse meeeee wanazengo!!!! Mnaoni pm kua niwatumie hela ili mniunganishe na hao wataalamu.. my dears msijisumbue m mwenyewe hali yangu pangu pakavu Yan tia maji tia maji kma umeamua kunipa we nipe tu huyo mtaalumu nitakushukuru sana[emoji30] Ila kama unajua huwezi kunisaidia mpaka nikulipe’ hell NO!!! Hata usini pm
 
Maisha haya changamoto sana.

Wewe mtu kakusaidia bila kumroga, kakufikisha sehemu nzuri tu. Leo unataka kumroga ili akusaidie!

Huyo sponsor kakuacha baada ya kuona hujitambui, na inawezekana aliona viashiria vya ushirikina.
 
Maisha haya changamoto sana.

Wewe mtu kakusaidia bila kumroga, kakufikisha sehemu nzuri tu. Leo unataka kumroga ili akusaidie!

Huyo sponsor kakuacha baada ya kuona hujitambui, na inawezekana aliona viashiria vya ushirikina.

Hayo ni mawazo yako.. haya hongera
 
Habarini wanazengo

Kama kichwa cha habari kinavyojielezea niko njia pandaaah!!
Nimefanikiwa kumaliza diploma in procurement and supply management nimejaribu kutafuta kazi sijapata mpaka sasa although nimejiajiri Ila kabiashara hakapo very strong kakusema niendeleze gurudumu la maisha

Short story

Nimemaliza form4 2014, 2015 nikawa na mipango ya kukwea pia ikafeli ila mungu si athumani nikampata sponsor’ akanipromise kunisomesha mpaka nichoke mwenyewe’ alhamdulillah nimemaliza diploma june mwaka huu kwa gpa ya second class. Mwezi wa nne mwaka huu akaniacha solemba[emoji24][emoji24] msgs anasoma ila HAJIBU nikimpigia kwa namba yoyote akijua ni mm tu anakata simu na block juu (sijui chanzo ni nn) na nategemea kwenda bachelor yeye ndio tegemeo langu,

Nikashauriwa nimnywee kojo, nimekunywa wiki nzima hamna lolote lilobadilika hali ni ile ile

Sasa ombi langu[emoji19] kwa anaefahamu MGANGA wa kweli jamani (nb: matapeli jamani please stay away sina hata ela)
Anisaidie nimrudishe huyu sponsor kwani bado nina ndoto za kuendelea kusoma
Nipo dar nahitaji mganga wa sehemu za karibu (dar/pwani/morogoro/tanga/mtwara) hizo ndio sehem naweza kuafford kufika.

Please awe wa uhakika

Nb: KILA MTU NA IMANI YAKE....
Mama mtwara huku hakuna waganga nenda gambosh.... Kwani wale 900 waliomkingia kifua jiwe hujawaona?
 
Hebu subiri, kumnywea kojo ndio kufanyaje?
Mwenzangu hilo kojo wanasema unaweka kwa kizibo cha chupa ya Maji safi au juice zile unataja jina la huyo mtu mara saba kisha unasema utakacho afanye huyo bwana....... Huko kwenye magroup ya whatsapp Kuna kasheshe kwelikweli
 
Back
Top Bottom