Joseph lebai
JF-Expert Member
- Jul 19, 2017
- 8,452
- 8,670
Anaesema mganga ni Mungu muogope kama ukoma!! Ukimuangalia katika ulimwengu wa roho utashangaa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jesus halafu unakunywa?!!!!!!!!! Na unakuwa mkojo wa nani? 🙆🙆🙆🙆Mwenzangu hilo kojo wanasema unaweka kwa kizibo cha chupa ya Maji safi au juice zile unataja jina la huyo mtu mara saba kisha unasema utakacho afanye huyo bwana....... Huko kwenye magroup ya whatsapp Kuna kasheshe kwelikweli
Wako mama wakoooo eeesh.... Huko kwenye magroup Kuna mazito mpaka hayawezekani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Jesus halafu unakunywa?!!!!!!!!! Na unakuwa mkojo wa nani? [emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]
Kama u Christian nicheki pmMmh hapo kwenye kupelekana hapana’ ila ukiniconnectia na huyo wa tanga itakua vizuri zaidi
AmeenEndelea kuomba usikate tamaa Mungu wetu anasikia sana maombi yetu
Kunywa mkojo wako dada ule wa asubuhi unaunywa huku wanuia maneno..unataja jina la mlengwa mara 7Hebu subiri, kumnywea kojo ndio kufanyaje?
Habarini wanazengo
Kama kichwa cha habari kinavyojielezea niko njia pandaaah!!
Nimefanikiwa kumaliza diploma in procurement and supply management nimejaribu kutafuta kazi sijapata mpaka sasa although nimejiajiri Ila kabiashara hakapo very strong kakusema niendeleze gurudumu la maisha
Short story
Nimemaliza form4 2014, 2015 nikawa na mipango ya kukwea pia ikafeli ila mungu si athumani nikampata sponsor’ akanipromise kunisomesha mpaka nichoke mwenyewe’ alhamdulillah nimemaliza diploma june mwaka huu kwa gpa ya second class. Mwezi wa nne mwaka huu akaniacha solemba[emoji24][emoji24] msgs anasoma ila HAJIBU nikimpigia kwa namba yoyote akijua ni mm tu anakata simu na block juu (sijui chanzo ni nn) na nategemea kwenda bachelor yeye ndio tegemeo langu,
Nikashauriwa nimnywee kojo, nimekunywa wiki nzima hamna lolote lilobadilika hali ni ile ile
Sasa ombi langu[emoji19] kwa anaefahamu MGANGA wa kweli jamani (nb: matapeli jamani please stay away sina hata ela)
Anisaidie nimrudishe huyu sponsor kwani bado nina ndoto za kuendelea kusoma
Nipo dar nahitaji mganga wa sehemu za karibu (dar/pwani/morogoro/tanga/mtwara) hizo ndio sehem naweza kuafford kufika.
Please awe wa uhakika
Nb: KILA MTU NA IMANI YAKE....
Watu wanatumia fursa vizuriJamani excuse meeeee wanazengo!!!! Mnaoni pm kua niwatumie hela ili mniunganishe na hao wataalamu.. my dears msijisumbue m mwenyewe hali yangu pangu pakavu Yan tia maji tia maji kma umeamua kunipa we nipe tu huyo mtaalumu nitakushukuru sana[emoji30] Ila kama unajua huwezi kunisaidia mpaka nikulipe’ hell NO!!! Hata usini pm
Na wanaamini kabisa kuwa inafanya kazi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wako mama wakoooo eeesh.... Huko kwenye magroup Kuna mazito mpaka hayawezekani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kunywa mkojo wako dada ule wa asubuhi unaunywa huku wanuia maneno..unataja jina la mlengwa mara 7
Yani acha tu..na ukitaka uamini inafanya kazi vile watu wanatoa feedback za watu wao kurudi katika mstari...ujinga mtupu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hawa waganga watatuua walah!!!!
Naona leo umeamka na swali hili shemNi wewe huyo hapo kwenye avatar?
Hahahaha nimetaka kujua tu shemNaona leo umeamka na swali hili shem
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hawa waganga watatuua walah!!!!