Nipo njia panda


Wadada wazee waliojichelewesha huko utawajua tu kwa jinsi wanavyoteteana. Kijana mwenzangu nakushauri usioe ajuza huyo wa miaka 34, itakula kwako! Hapo menopause bado miaka 5 tu, mnaanza crisis ndani! Unapochukua kitu angalia na shelf-life yake bro.
 

Mtu B hapa issue si uajuza wa one of wadanganyikaz, issu e hapa ni huyu jamaa asiye muaminifu, asiyejielewa wala kujitambua anataka nini kwenye maisha yake.
mbele ya macho yangu hustahili kumuoa hata huyo binti wa 26 yrs..........jitafakari na ujue what do you exactly want in life.
mwisho wa siku unaweza ukawakosa wote kwa taarifa yako!!!
 

Walewale! Usidanganyike kaka
 
na mambo kama haya yanapelekea kuchagua kucko kesho unakuja jutia maisha, tamaa zanawasumbua sana! hapo hata kama ni tamaa lakini ulitakiwa ucheze karata zako vizuri kwa kumwambia mmoja ukweli hata akiamua kuendelea na uhusiano lakini ajue hauna future.....anza moja au mwambie mmojawao ukweli.
 


ndio mana mnashikwaga mackio, upeo wa baadhi yenu wa kuchagua mke ndio unawapelekaga pabaya!
 

Si muoaji wewe bado.. mihemko na woga wa kukabiliana na matatizo ulojisababishia ndio yakusumbua broda..JITAMBUE KWANZA... jiulize unahitaji mkeo wa maisha aweje..jiangalie unaweza kuwa mume bora kwa mwanamke wa aina ipi.. angalia hao wenzi wako kila mmoja TBS zake kwa vigezo uivojiwekea na hatimaye uchukue maamuzi magumu ya kumchagua mmoja na kumtosa mwingine... Itz ur mess.. clean it!!😛ound:
 
If you want to be happy in your marriage, you must do justice to your heart just now & marry the women you truely love. I had the same problem, my xGF was 2 years older than me, almost everybody, including some church elders adviced me to leave her, all I had to do was to find a good reason to leave her without hurting her so much. Currently, you cant foresee what will happen when your wife gets old, lets say she is 45yrs & you are 40yrs, most males at this age are the ruthless fatakis in the current generation .i.e. most sexually active than their counterpart females. Am sorry ladies if you will be offended by this, I repeat, do justice to your dear heart gentleman & marry your dream woman.
 
huna uaminifu wa mapenzi, kwani ulipokuwa unaenda usa kimasomo tayari
mlikuwa mmesitisha mkataba wa mapenzi na huyo mpenzi wako wa kwanza?

umekutana na huyo ulokuwa unasoma naye sekondari umemsahau ulokutana
naye A. Kusini

utakutana na uliyekuwa unasoma naye shule ya msingi ulimpenda sana
ingawa hukuwahi kumwambia na utakuja hapa tena kuomnba ushauri,
inaonekana kuwa hiyo ni tabia yako tu, hebu jaribu kuwa mtulivu katika
swala mahusiano, maana kusafiri huwa hakuishi, utajaenda mahari pengine
utakutana na mwingi, tabia ikizoeleka inakuwa sehemu ya maisha yako
kuwa makini sana na hili
 
g'mrng dearest!...hope upo bien..naona watu wanatafuta wacumba kama wanachagua nyanya vile.

inasikitisha.......mi chichemi wala chiongei!!! hivi hili soko la EA si limegusa hata sekta hii??
 
inasikitisha.......mi chichemi wala chiongei!!! hivi hili soko la EA si limegusa hata sekta hii??

haa nimecheka sana, u mean sekta imepanuka?.....
 
Walewale! Usidanganyike kaka

Wadada wazee waliojichelewesha huko utawajua tu kwa jinsi wanavyoteteana. Kijana mwenzangu nakushauri usioe ajuza huyo wa miaka 34, itakula kwako! Hapo menopause bado miaka 5 tu, mnaanza crisis ndani! Unapochukua kitu angalia na shelf-life yake bro.
Mafataki utawajua tu! una uhakika gani kuwa hawa wadada wanaotoa ushauri ni wazee waliojichelewesha.
Uzuri ni kwamba hakuna mtu atakayeishi maisha ya mwenzie.Endeleeni na 'ujana' wa kipumbavu lakini apandacho mtu ndicho atakachovuna!
What goes around comes around!
 

Sikujua kama wapo wengi hivi! Ushauri wa kuoa ajuza ni wa kuuogopa kama ukoma na ukimwi!

Huyo wa 26 hata kama anataka mimba ni haki yake, ndio wakati wake. Huyo wa 34 hata ukimpa hiyo mimba atakwenda kiliniki na labour akiwa 35 akakutane na wa miaka 20 mbona aibu! Halafu hapo ni kama ana bahati ya kuipata hiyo mimba. Na wataalamu wanatuambia umri unaofaa kupata mimba usizidi 35, sasa niambie kaka unataka kuchukua kitu siku ya expiry date?

Hapa ni oldies wanatetea oldies wenzao ili tuzoee tuone ni kawaida, lakini kamwe haifai. Ni sawa na gays wanavyojitahidi kutushawishi kuwa ndoa zao ni sahihi, na wanalisema mara nyingi na kupiga kelele sana ili baadae izoeleke na kukubalika kama ambavyo tumeona.

Ndoa baina ya kijana na ajuza haikubaliki, napinga kabisa. Hao wakaolewe na wazee wenzao wafarijiane kimtindo. Lakini kama ni suala la kumega tu, poa, lakini kuoa itakula kwako kaka.
 
:biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1:
 
una umri gani bwana mdogo?...
naogopa sana kumshauri mtu ambae naamini atakuwa chini ya 25....!
 
Mkuu zimbo,

- Huwezi kuwa na "wachumba" wawili: uchumba ni 1o1 - ukishakuwa na zaidi ya mmoja hiyo inaitwa "profanity"

- Acha dhambi: fanya maamuzi sahihi: funga ndoa
 

halafu mie ckujua 34 yrs tayari mtu umekuwa ajuza, mbona ninafanya kazi na wakaka wana 34 n above na hawajaoa nao ni maajuza au ina apply kwa wanawake tu?
 
toa ushauri na si ku sahauri mtu kwa kutumia mawazo ya mtu binafsi, ikiwa umri mzuri kupata ujauzito ni miaka 35, unataka kuniambia kuwa wanawake wote wanaozaa wakiwa na umri wa miaka zaidi ya 35 wanafanya makosa? ama wanzaa mapoza? mbona wengine tumezaliwa mama zetu wakiwa ni watu wazima na hakuna athari zozote, ama wewe ulizaliwa na kibinti? na kama ulizaliwa na kibinti basi kilibakwa, maana usitake kuniambia binti aliyeolewa akiwa na miaka 26 na katika ndoa yake amebahatika kupata watoto 7 wote aliwa zaa under 38 to 35
 
Mkuu zimbo,

- Huwezi kuwa na "wachumba" wawili: uchumba ni 1o1 - ukishakuwa na zaidi ya mmoja hiyo inaitwa "profanity"

- Acha dhambi: fanya maamuzi sahihi: funga ndoa
mkuu nilitaka nikugongee thanx kile kitufe cjakiona, kikubwa ni kufanya maamuzi
yenye kukufanya uwe karibu na Mungu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…