Sikujua kama wapo wengi hivi! Ushauri wa kuoa ajuza ni wa kuuogopa kama ukoma na ukimwi!
Huyo wa 26 hata kama anataka mimba ni haki yake, ndio wakati wake. Huyo wa 34 hata ukimpa hiyo mimba atakwenda kiliniki na labour akiwa 35 akakutane na wa miaka 20 mbona aibu! Halafu hapo ni kama ana bahati ya kuipata hiyo mimba. Na wataalamu wanatuambia umri unaofaa kupata mimba usizidi 35, sasa niambie kaka unataka kuchukua kitu siku ya expiry date?
Hapa ni oldies wanatetea oldies wenzao ili tuzoee tuone ni kawaida, lakini kamwe haifai. Ni sawa na gays wanavyojitahidi kutushawishi kuwa ndoa zao ni sahihi, na wanalisema mara nyingi na kupiga kelele sana ili baadae izoeleke na kukubalika kama ambavyo tumeona.
Ndoa baina ya kijana na ajuza haikubaliki, napinga kabisa. Hao wakaolewe na wazee wenzao wafarijiane kimtindo. Lakini kama ni suala la kumega tu, poa, lakini kuoa itakula kwako kaka.