Jamani nipo njia ya panda.Kuna full sponsoreship kwenda kusoma masters Japan, course: Nucleur Enginering, mmi nime graduate pale udsm, Electro-mechanical engineering, NILIMALIZA MWAKA JANA, nafanya kazi nalipwa 600,000/= kwa mwezi. nahisi kwenda huko ni kupoteza muda kulingana na hali harisi ya tanzania kwenye sector ya nucleur, naomba michango yenu. Program inaanza mwakani october.mchakato wa kuwa enrolled mwisho ni december 10, 2010.Wasiwasi wangu ni kwenye ajira. Nifungueni macho jamani kama yamefumba
hongera sana kwa kupata nafasi hiyo. mimi nakushauri usiangalie hali ya sasa ya hapa kwetu, jaribu kufocus miaka kadhaa ijayo. unaweza ukawa miongoni wa wataalamu wa mwanzo kabisa wa nuclear hapa tz. na pia unaweza ukapata opportunity kufanya kazi nje ya nchi. Lakini zaidi sana inategemea malengo yako, finally unataka kufanya nini.
jamani nipo njia ya panda.kuna full sponsoreship kwenda kusoma masters japan, course: Nucleur enginering, mmi nime graduate pale udsm, electro-mechanical engineering, nilimaliza mwaka jana, nafanya kazi nalipwa 600,000/= kwa mwezi. Nahisi kwenda huko ni kupoteza muda kulingana na hali harisi ya tanzania kwenye sector ya nucleur, naomba michango yenu. Program inaanza mwakani october.mchakato wa kuwa enrolled mwisho ni december 10, 2010.wasiwasi wangu ni kwenye ajira. Nifungueni macho jamani kama yamefumba
Kuna wengi sana wamesoma na hawapo nchini.................. NENDA KASOME Tshs. 600,000/= si kiasi cha kutaja, ni kdogo mno. Inaonekana unajilinganisha na WALIMU WA JK....!!!!
SWALI KWAKO.................. kinachokufanya usite ni hizo Tshs. 600,000/= au hali harisi ya Tanzania kwenye sector ya nucleur..????