Fene
JF-Expert Member
- May 4, 2021
- 2,824
- 4,447
Habari wanabodi,
Leo nimefika hapa Nyamisati mida asubuhi nimeambiwa tiketi nimeshakosa napaswa nisubiri hadi Jumatano au Alhamisi ndipo meli itatoka tena kuelekea Mafia.
Hiyo bado haitoshi kuna watu ambao wamebahatika kukata tiketi leo wao wameniambia wana siku ya nne tokea wafike hapa, usafiri ni shida.
Inasikitisha sana na gharama za maisha zilivyo juu mtu anafika hapa bandarini anaambiwa anapaswa asubiri siku kadhaa ndipo asafiri.
Na hili pia mkaliangalie.
Nawasilisha
Leo nimefika hapa Nyamisati mida asubuhi nimeambiwa tiketi nimeshakosa napaswa nisubiri hadi Jumatano au Alhamisi ndipo meli itatoka tena kuelekea Mafia.
Hiyo bado haitoshi kuna watu ambao wamebahatika kukata tiketi leo wao wameniambia wana siku ya nne tokea wafike hapa, usafiri ni shida.
Inasikitisha sana na gharama za maisha zilivyo juu mtu anafika hapa bandarini anaambiwa anapaswa asubiri siku kadhaa ndipo asafiri.
Na hili pia mkaliangalie.
Nawasilisha