Abiria wachacheKwamba meli ni moja, au abiria ni wachache, so inabidi kuwasubiria hadi wajaze Chombo?
Mkoa wa Pwani, usafiri wa uhakika ni wa ndege hizi charter plane.Ni wapi Tz yetu hii
Meli kwasasa zipo mbili ila ndo wamejiwekea hivyo route mara mbil kwa wiki. Na sio kusema abiria wachache coz wanaoachwa ni wengi sana.Kwamba meli ni moja, au abiria ni wachache, so inabidi kuwasubiria hadi wajaze Chombo?
Hiyo ni changamoto kwa mwekezaji. Huwezi choma mafuta kwa abiria wachacheAbiria wachache
Ila bungu pakiduwanzi japo hapajalalaRudi kalale Bungu pana unafuu ila makinika na watoto wa kimakonde [emoji23]
Mazee wale Ma drug dealers huko kote wanaendaga na viboti vyao sio??Vp mmbu hapo umewaonaje
Hivi mv potwe na mv jubini bado zipo
Ova
Wakati nafanya mradi wangu wa jongoo bahari nlikuwaga na both la faiber + engen zakeMazee wale Ma drug dealers huko kote wanaendaga na viboti vyao sio??
Wanateteza tu hapo syo mbali mbonaMazee wale Ma drug dealers huko kote wanaendaga na viboti vyao sio??
Kwa unafuu wa kila kitu pako vizuri na ndio karibu na NyamisatiIla bungu pakiduwanzi japo hapajalala
Hapo nyamisati mida ya jioni kuna wale mmbu wanao sababisha mabushaRudi kalale Bungu pana unafuu ila makinika na watoto wa kimakonde [emoji23]