Wale mbu wanatoboa hadi netHapo nyamisati mida ya jioni kuna wale mmbu wanao sababisha mabusha
Wengi balaaaaa
Baharia kama ss hapo tulikuwa tunavaa kama maninja + mambo yetu vitu vikali kuchangamsha mwili [emoji1]
Ova
Tumia ndege kama hutojali MkuuHabari wanabodi
Leo nimefika hapa Nyamisati mida asubuhi nimeambiwa tiketi nimeshakosa napaswa nisubiri hadi Jumatano au Alhamisi ndipo meli itatoka tena kuelekea Mafia.
Hiyo bado haitoshi kuna watu ambao wamebahatika kukata tiketi leo wao wameniambia wana siku ya nne tokea wafike hapa, usafiri ni shida.
Inasikitisha sana na gharama za maisha zilivyo juu mtu anafika hapa bandarini anaambiwa anapaswa asubiri siku kadhaa ndipo asafiri
Na hili pia mkaliangalie
Nawasilisha
Japo malazi ni pa hovyo ukiondoa ile lodge mpyaKwa unafuu wa kila kitu pako vizuri na ndio karibu na Nyamisati
Nakuombea! Hapo kula munde mpaka midamida ukapumzikeNimeamua nikomae tu hapahapa kesho nitafanya maamuzi
Hapo nyamisati mida ya jioni kuna wale mmbu wanao sababisha mabusha
Wengi balaaaaa
Baharia kama ss hapo tulikuwa tunavaa kama maninja + mambo yetu vitu vikali kuchangamsha mwili [emoji1]
Ova
Na siwezi kupata nlishapiga chanjo muda sana bossKwani hupendi busha ??
Utatupa mrejesho basiKwasasa mbu bado sijawaona labda mida yao bado
Hizo hazipo itakuwa labda za kitambo hizo mkuu
Haya makero hayajakoma tu? Mshana Jr alikaa huko wiki akingoja usafiri. Kwa namna hii je hatupotezi watalii wa ndani na wa nje wenye nia ya kutembea Mafia?Habari wanabodi
Leo nimefika hapa Nyamisati mida asubuhi nimeambiwa tiketi nimeshakosa napaswa nisubiri hadi Jumatano au Alhamisi ndipo meli itatoka tena kuelekea Mafia.
Hiyo bado haitoshi kuna watu ambao wamebahatika kukata tiketi leo wao wameniambia wana siku ya nne tokea wafike hapa, usafiri ni shida.
Inasikitisha sana na gharama za maisha zilivyo juu mtu anafika hapa bandarini anaambiwa anapaswa asubiri siku kadhaa ndipo asafiri
Na hili pia mkaliangalie
Nawasilisha