NIPO PORINI WEWE JE???

NIPO PORINI WEWE JE???

Haha juzijuzi nlkuwa kijiweni na misokoto kazaa likaja defender wazee WA kazi waliruka defender likiwa linajiandaa kusimama tulikimbia sio poa mkuu nusu nivunje mguu ila kuna ambao walishikwa


Ila huwezi amini mkuu sahivi nimerudi palepale na wadau wangu tulionusurika majuzi
 
Haha juzijuzi nlkuwa kijiweni na misokoto kazaa likaja defender wazee WA kazi waliruka defender likiwa linajiandaa kusimama tulikimbia sio poa mkuu nusu nivunje mguu ila kuna ambao walishikwa


Ila huwezi amini mkuu sahivi nimerudi palepale na wadau wangu tulionusurika majuzi
[emoji3][emoji3][emoji3], na huu ndio ujasiri tunao utaka hata katika ku hustle na kuamua mambo magumu, keep that spirit, usiogope, wala Quit, withdraw, jipange rudi upya.
 
Back
Top Bottom