Marco Polo
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 11,786
- 18,562
View attachment 1122082
Kama picha inavyojionesha ndugu, wenye uzoefu na ujuzi nipeni maoni na ushauri, taie home 500
hutabarikiwa ujue😀Jamani, anatukana sipeleki sadaka tena[emoji3] [emoji3]
Hapo nimekupata kiongozi kwani umeeleza kwa kina kabisa na kwakweli sioni kama kuna ufajaji wa pesa zaidi ya matumizi ya msingiNashukuru kwa ushauri wa gari nadhan cc ya inanitesa juu ya ulaji gari ni 6cyclinder na ina cc 2194 route zake ni kazini asubuhi na kurudi home jioni wakati huo asubuhi nampitisha wife kijiweni kwake na jioni ananisubiri tunarudi wote home so mafuta ni Yale Yale,pia tunaitumia kwenda kanisani tu sinaga mizungunguko tofauti na hilo labda kwa nadra sana km hospital, mtoto kuchelewa gari la shule na kuwapeleka watoto Jumapili out kidogo sehemu za michezo.so gari inakula karibu fuel ya 10000 kila siku.
Kuhusu gas ni 15kg ambao sisi tunaujaza kwa 54000 kuna kipindi unaweza kusukuma mwezi 1.5 na itategemea na matumizi ya mkaa,means mkaa ukutumika sana gas haitumiki sana.
Yaani kwenye sadaka mimi natoa 5000 kila jumapili ×4 =20000 + wife 20000=40000
Watoto 1000@1×5=5000×4=20000.
Kumbuka hiyo 5000 inakuwa imegawanywa km 3/4 kimatoleo mimi ni KKKT Kuna sadaka ya Ahadi
Kuna sadaka ya Jengo
Kuna sadaka Utumishi
Kuna sadaka ya shukran ya wiki
Kuna sadaka ya 1/10 hii inategemea na unavoousikia moyo wako kutoa
Pia kumbuka hizo sadaka za mwanzo zina bahasha maalum na kumbukumku utunzwa,so unaona elfu 5000 ninavoigawa ha pa kupunguza hakuna
Anyway asante kwa ushauri make hapa tunashare experience.
Note;Mimi sio muumin wa michango ya harusi na ukinikaribisha hata kwa bure siji labda tuwe tumeshibana sana
Note:Sinywagi pombe za magroup wewe ukikuta bar nakunywa ukanizungushia sitakurudishia kusudi time husiangaike nami.Nikitoka home na ten ya kunywa hiyo inanitosha nikiona siku nina hamu ya kuchangamka nitajiLusekelo siku hiyo.
Note:Sinaga tabia ya kuhonga wanawake mimi ni binadamu mambo yakiwa hapa nitamtafuta rafiki roho inataka nitakunywa nae kama ni mnywaji na chakula kizuri tutakula na nitajitahid kufanya performance nzuri kwa bed km rafiki but kamwe hasitegemee hata mia kutoka kwangu,wanatokaga kwangu wamenuna but baada ya muda wananitafuta tena urafiki unaendelea.
Mara nyingi uwa nawatafuta waelewa ambae leo akinywa yako kesho nakunywa yako tofauti na hapo sinaga haraka na hawa malaika hasa wasiojitambua
×××hizo ndizo kasoro zangu km binadamu wa kiume×××
Halafu siamin ktk kukopeshana ukija kwangu unataka 100000 ya mkopo ujue nitakupa 30000 ya bure na sitakwambia ni ya bure kusudi ukinidhulumu roho isiniume pia sitaki kumpoteza mdeni wangu, so ni nimpe kidogo kusudi akae na kihoro yeye wakati mimi nina amani
Nahisi amechanganya matumizi ya mwezi na week... kama kweli kila week anatuma hiyo hela kwa ndugu na kwa take hom ya laki 5 basi atafeliAngetoa ndugu angeweka bia..huwezi survive bila kukaa baa na washkaji..ndo dili zote huanzia huko...ndugu wapambane na hali zao au geuza sadaka kama ela ya ndugu maana kwa magu kusaidia ndugu tu ni sadaka tosha..usipeleke ela kwa kina mzee wa upako watarudisha bar
Hapa tupo pamoja mkuu...Halafu siamin ktk kukopeshana ukija kwangu unataka 100000 ya mkopo ujue nitakupa 30000 ya bure na sitakwambia ni ya bure kusudi ukinidhulumu roho isiniume pia sitaki kumpoteza mdeni wangu, so ni nimpe kidogo kusudi akae na kihoro yeye wakati mimi nina amani
Kwanza bajeti haiko realistic ina vitu vingi hakunaView attachment 1122082
Kama picha inavyojionesha ndugu, wenye uzoefu na ujuzi nipeni maoni na ushauri, taie home 500
Hata mm huwa natumia mwezi huyo pesa na familia,bajeti ikiongezeka jua ni dharura za kuumwa,ndugu na mademu tu napo sitoi zaidi ya 150,000Mimi na familia yangu tunatumia kiasi honcho emwazi mzima
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]kumbe haya mambo yapo kila sehem.Boom!!Bibi yako wa Muleba kateguka nyonga,mdogo wako kawekwa ndani.
Waafrika hatuna bajet tumelelewa kwenye extended family.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Nina miaka 11 sijawahi toa sadaka!!
Ondoa sadaka kwanza, mana unalisha walioshiba!!.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Piga mahesabu uone utaanza kujisemea "nilikuwa naibiwa sana" kama mkemia wetu wa zao la mtwara
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]mwache tu ampelekee Mzee wa upako siku akienda kuhojiwa anasema wahumini masikini ni wapumbavu[emoji23][emoji23]
Hao watu wenye shida zaidi yako wewe unawaokota wapi?Sadaka:-
25, 000 ndo nimetoa direct
50,000 ni kwa watu wenye shida zaidi ya mimi
Hata mm mkuu huwa nafanya hvyo na mke wangu.Kweli jitathmini, usawa huu ukiwa unabajet kubwa sana hutaweza kufanya maendeleo mengine.
Note; Nna mke kwahyo vitu k.m maharage,mchele, dagaa, sukari, unga, mafuta nanunua jumla na sio rejareja huwa inasaidia kupunguza gharama.
Mkuu maisha yako ya aina nyingi sana.Aisee watu mna maisha safi yasiyo na taabu.
Mimi nilifanikiwa kuongeza uumbaji wa Mungu kwa kiasi cha wastani nina watoto 5,mke 1,tuna Dada wa kazi 1 so jumla tupo 8,watoto 4 wapo medium schools.
Bahati nzuri naishi kwenye kibanda changu /sipangi.
Mshahara ni 1.5M.
So nikiona hiyo bajeti yako nacheka means leo nikikupa familia kwa muda siku tatu nitakuta umeitoroka[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji6][emoji23][emoji23]