Nipo single, haya ni Matumizi yangu ya wiki moja - nipe ushauri

Nipo single, haya ni Matumizi yangu ya wiki moja - nipe ushauri

Mimi nikipiga mahesabu najionaga fala kweli maana matumizi ni makubwa sana.
 
Nashukuru kwa ushauri wa gari nadhan cc ya inanitesa juu ya ulaji gari ni 6cyclinder na ina cc 2194 route zake ni kazini asubuhi na kurudi home jioni wakati huo asubuhi nampitisha wife kijiweni kwake na jioni ananisubiri tunarudi wote home so mafuta ni Yale Yale,pia tunaitumia kwenda kanisani tu sinaga mizungunguko tofauti na hilo labda kwa nadra sana km hospital, mtoto kuchelewa gari la shule na kuwapeleka watoto Jumapili out kidogo sehemu za michezo.so gari inakula karibu fuel ya 10000 kila siku.
Kuhusu gas ni 15kg ambao sisi tunaujaza kwa 54000 kuna kipindi unaweza kusukuma mwezi 1.5 na itategemea na matumizi ya mkaa,means mkaa ukutumika sana gas haitumiki sana.
Yaani kwenye sadaka mimi natoa 5000 kila jumapili ×4 =20000 + wife 20000=40000
Watoto 1000@1×5=5000×4=20000.
Kumbuka hiyo 5000 inakuwa imegawanywa km 3/4 kimatoleo mimi ni KKKT Kuna sadaka ya Ahadi
Kuna sadaka ya Jengo
Kuna sadaka Utumishi
Kuna sadaka ya shukran ya wiki
Kuna sadaka ya 1/10 hii inategemea na unavoousikia moyo wako kutoa
Pia kumbuka hizo sadaka za mwanzo zina bahasha maalum na kumbukumku utunzwa,so unaona elfu 5000 ninavoigawa ha pa kupunguza hakuna
Anyway asante kwa ushauri make hapa tunashare experience.
Note;Mimi sio muumin wa michango ya harusi na ukinikaribisha hata kwa bure siji labda tuwe tumeshibana sana
Note:Sinywagi pombe za magroup wewe ukikuta bar nakunywa ukanizungushia sitakurudishia kusudi time husiangaike nami.Nikitoka home na ten ya kunywa hiyo inanitosha nikiona siku nina hamu ya kuchangamka nitajiLusekelo siku hiyo.
Note:Sinaga tabia ya kuhonga wanawake mimi ni binadamu mambo yakiwa hapa nitamtafuta rafiki roho inataka nitakunywa nae kama ni mnywaji na chakula kizuri tutakula na nitajitahid kufanya performance nzuri kwa bed km rafiki but kamwe hasitegemee hata mia kutoka kwangu,wanatokaga kwangu wamenuna but baada ya muda wananitafuta tena urafiki unaendelea.
Mara nyingi uwa nawatafuta waelewa ambae leo akinywa yako kesho nakunywa yako tofauti na hapo sinaga haraka na hawa malaika hasa wasiojitambua
×××hizo ndizo kasoro zangu km binadamu wa kiume×××
Halafu siamin ktk kukopeshana ukija kwangu unataka 100000 ya mkopo ujue nitakupa 30000 ya bure na sitakwambia ni ya bure kusudi ukinidhulumu roho isiniume pia sitaki kumpoteza mdeni wangu, so ni nimpe kidogo kusudi akae na kihoro yeye wakati mimi nina amani
Hapo nimekupata kiongozi kwani umeeleza kwa kina kabisa na kwakweli sioni kama kuna ufajaji wa pesa zaidi ya matumizi ya msingi

Vipi upo serikalini cyo? Kazi gani km hutamind?... Ikiwa ni private unaweza kuwa na wasiwasi sana lkn kama gvt siyo presha kihivyo (kwa maana ya job security)

Hata hivyo kuwahi kujiwekeza mapema ni jambo la msingi uliofanya.km unaishi kwako hupangi nyumba, unapangisha una walau taxi inapiga kazi hapa unabaki kushusha pumzi tu

With salary of 1.5M na miradi hiyo mingine na bila wasi wasi uko mikono salama kabisa nothing to fear mkuu

Umenichekesha mkuu hapo kwenye vimichepuko kwamba havipati chochote[emoji23][emoji23]... Ila show siyo ya kitoto so lazma vikutafute tu vynyewe[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Angetoa ndugu angeweka bia..huwezi survive bila kukaa baa na washkaji..ndo dili zote huanzia huko...ndugu wapambane na hali zao au geuza sadaka kama ela ya ndugu maana kwa magu kusaidia ndugu tu ni sadaka tosha..usipeleke ela kwa kina mzee wa upako watarudisha bar
Nahisi amechanganya matumizi ya mwezi na week... kama kweli kila week anatuma hiyo hela kwa ndugu na kwa take hom ya laki 5 basi atafeli
 
Halafu siamin ktk kukopeshana ukija kwangu unataka 100000 ya mkopo ujue nitakupa 30000 ya bure na sitakwambia ni ya bure kusudi ukinidhulumu roho isiniume pia sitaki kumpoteza mdeni wangu, so ni nimpe kidogo kusudi akae na kihoro yeye wakati mimi nina amani
Hapa tupo pamoja mkuu...
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Piga mahesabu uone utaanza kujisemea "nilikuwa naibiwa sana" kama mkemia wetu wa zao la mtwara
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
mwache tu ampelekee Mzee wa upako siku akienda kuhojiwa anasema wahumini masikini ni wapumbavu[emoji23][emoji23]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Halaf baada ya hapo hawashtuki bado wanaendelea kupeleka tu yaani duniani Kuna watu ni misukule
 
Ukila kwa mama ntilie na bar kila siku uta average 6000 kwa siku, kwa wiki ni 42,000 kwa mwezi ni 168,000. Hayo mengine sijui.
 
Sadaka:-
25, 000 ndo nimetoa direct
50,000 ni kwa watu wenye shida zaidi ya mimi
Hao watu wenye shida zaidi yako wewe unawaokota wapi?
Au hao ndio wanakutafuta wewe kila siku/wiki?
Hata hao akina Bakhresa na Mo dewji hawapeleki kila siku sadaka.
Wewe kwa utajiri gani ulionao hadi uwapangie bajeti ya kila siku watu wa kuwapa hela?
 
Kweli jitathmini, usawa huu ukiwa unabajet kubwa sana hutaweza kufanya maendeleo mengine.

Note; Nna mke kwahyo vitu k.m maharage,mchele, dagaa, sukari, unga, mafuta nanunua jumla na sio rejareja huwa inasaidia kupunguza gharama.
Hata mm mkuu huwa nafanya hvyo na mke wangu.
Yaani najaza mazaga yote kwenye friji na baada ya hapo nafanya kuongezea tu kila wiki.
Unashangaa wiki nzima natumia elfu 50 tu na naenjoy sana yaani full masamaki,manyama na makuku kwenye friji plus mboga za majani hadi raha.
 
Aisee watu mna maisha safi yasiyo na taabu.
Mimi nilifanikiwa kuongeza uumbaji wa Mungu kwa kiasi cha wastani nina watoto 5,mke 1,tuna Dada wa kazi 1 so jumla tupo 8,watoto 4 wapo medium schools.
Bahati nzuri naishi kwenye kibanda changu /sipangi.
Mshahara ni 1.5M.
So nikiona hiyo bajeti yako nacheka means leo nikikupa familia kwa muda siku tatu nitakuta umeitoroka[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji6][emoji23][emoji23]
Mkuu maisha yako ya aina nyingi sana.
Na take home ya laki 5 sio ya kubeza ni hela standard kibongo bongo.
Yaani hapo amewazid walimu,mapolisi,makarani wa halmashauri.
Sasa kuna haja gani ya kucheka mtu mwenye uhakika wa laki 5 kwa mwezi eti jwa vile una mshahara wa 1.5m.
Tukianza kufanya comparison ya mishahara humu mbona hata hicho kimshahara chako Cha 1.5m ni kidogo sana.
Atakuja mwingine atakwambia 1.5m hata kwa chakula tu haimtoshi na atakucheka.
 
Back
Top Bottom