Nipo single, haya ni Matumizi yangu ya wiki moja - nipe ushauri

Ninaongelea watu ambao tupo busy kweli kweli kupata huo muda wa kwenda kununua nyanya za mia 2 kila siku gengeni, unachukulia kuwa na fridge ni anasa?
Achana nae huyo mshamba wa Tandahimba hajielewi
 
Hu Huna AKILI kabisa
 
Kwa mwezi ni laki 9.
Bado kuna dharura, gesi , bills za maji na umeme.
Mchele na nyama, huwezi pika robo tuu kwa wiki.
Andaa 1M kila mwezi.
Mwambie aache ujinga.
Afu anagonga mayai ya buku 2 kwa week!! Jamaa anagonga ubwabwa na ugali tu yani... afu bajeti ya nguo kwa wiki nadhani ana mpango wa kuwa miss Daslam... hii haimaanishi nimehusisha bajeti yake ya TANGO
 
Tafuta MKE haraka upunguze matumizi..........mbumbumbu hawataelewa
 
Afu anagonga mayai ya buku 2 kwa week!! Jamaa anagonga ubwabwa na ugali tu yani... afu bajeti ya nguo kwa wiki nadhani ana mpango wa kuwa miss Daslam... hii haimaanishi nimehusisha bajeti yake ya TANGO
Wewe Mzee wewe mbona kwenye TANGO umekoleza? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ni vibaya kula tango?
 
Mi nawashangaa hata mnaoangaika kumsapoti,,,,,huyu jamaa hajawahi kukifahamu kitu kinachoitwa maisha magumu ya hali ya chini...

Nakumbuka mama angu ilikua kila inapofika mida ya kupika chakula basi alikua ananituma kununua mafuta ya kula ya Sh 100, nyanya za Sh 200 na kitunguu cha Sh 100,,,,baada ya hapo tunaenda kucheza dakika kadhaa na tukirudi tunakuta msosi mmoja matata sana upo kwenye sinia na hauna kasoro hata moja.

Sasa nyie wakishua umeshazoeshwa kula na kufanya vitu visivyokuwa na ulazma Wa kula wala kufanya........ndo basi tena
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…