Nipo single, haya ni Matumizi yangu ya wiki moja - nipe ushauri

Watoto wa kishua hao. Hawajuhi hizo mambo venyewe sisi hufanya huku magetoni.
 

Hapo bajeti yako ni laki 1 na 39, hujaweka sadaka, ndugu na mavazi kama alivyoyataja na hivyo ndio viko mkasi kweli.
Lakini pia hivyo vyakula ukivimaliza kwa wiki moja ndani ya miezi sita utaugua maana ni vingi sana.
 
mzee punguza vitu visivyo na msing kisha save money
hapo kwenye sadaka navojuaga ni utoe kile ulicho nacho. na inaonekana
wew ni muumin wa manabii wa zama hizi. sio mbaya
we cha kufanya uwe una beba pesa ya kukutoha usafiri mpaka church na kurudi na buku la sadaka pesa ingine iache home. kaza moyo ndugu .
ile chenji ya sadaka anzisha hata kamradi kadogo yani uwe unaingiza pesa sasa au vp
kamradi kanaweza kuwa ka buku teni au chini au juu kidogo ili mradi baada ya kutumia pesa nyingine ziwe zinaigia au vp jmaa
 
hivi tango sio tunda !???

Anyway, ongezea na maji ya kunywa 97,000 na juice 89,000 , pia kuweka bajeti ya nguo bila viatu sio poa, vuta hata sneaker moja ya 73,000
Safi braza.... Dawa ya mjinga ni kuumia tu.

Aliyepotea mpoteze zaid asirudi teena.

Unatoa sadaka 75 unakuja kuomba ushauri... Akamuombe askofu wa jimbo anayempa ulaji.
 
Ngoja na mimi nianze kuandika kuanzia tarehe 8 nione natumia kiasi gani kwa wiki
 
Nahisi mota mada mlokole sare za kwaya ndio bajeti ya NGuo,
 
Nina miaka 11 sijawahi toa sadaka!!

Ondoa sadaka kwanza, mana unalisha walioshiba!!.
Vp km hiyo sadaka anasaidia wasiojiweza??? maana hajaspecify....

Km anapeleka church basi ni zwazwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…