Nipo Starpark Msamvu Morogoro pazuri sana

Nipo Starpark Msamvu Morogoro pazuri sana

Superbug

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2018
Posts
13,864
Reaction score
35,079
Nipo bongoland nchi ya Nyerere mkoa wa Morogoro palipojaliwa miradi miwili mikubwa reli ya SGR na Nyerere dam only kama vitakamilika nipo msamvu kijiwe kipya naona kinaitwa Starpark Msamvu ila tusijuane wala usije inbox sina hela ya bia .
 
Nipo bongoland nchi ya Nyerere mkoa wa morogoro palipojaliwa miradi miwili mikubwa reli ya sgr na Nyerere dam only kama vitakamilika nipo msamvu kijiwe kipya naona kinaitwa starpark msamvu ila tusijuane wala usije inbox sina hela ya bia .
Uko karibu na hayo mataa ya blue blue ?[emoji1787][emoji1787]
 
Hapo malori ya mafuta hayapiti? Nayaogopa kama nn nikiwa Moro.
 
Nipo bongoland nchi ya Nyerere mkoa wa morogoro palipojaliwa miradi miwili mikubwa reli ya sgr na Nyerere dam only kama vitakamilika nipo msamvu kijiwe kipya naona kinaitwa starpark msamvu ila tusijuane wala usije inbox sina hela ya bia .
Ipo msamvu mitaa gani nami nitie timu nicheki warembo wa chuo
 
Nipo bongoland nchi ya Nyerere mkoa wa morogoro palipojaliwa miradi miwili mikubwa reli ya sgr na Nyerere dam only kama vitakamilika nipo msamvu kijiwe kipya naona kinaitwa starpark msamvu ila tusijuane wala usije inbox sina hela ya bia .
Patam sana mkuu hapo, ukitoka nje unakula bus ka kwenda popote utakapo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nipo bongoland nchi ya Nyerere mkoa wa Morogoro palipojaliwa miradi miwili mikubwa reli ya SGR na Nyerere dam only kama vitakamilika nipo msamvu kijiwe kipya naona kinaitwa Starpark Msamvu ila tusijuane wala usije inbox sina hela ya bia .
Dah! Msamvu pa hovyo kweli
 
Back
Top Bottom