kafundishe uzidi kuferisha wanafunzi kwa tamaa ya hela uzalishe bomu jingine tena
Hili nalo nenoni kweli usemayo bwana duncan hapo juu..lakin tatzo la walimu lpo muda mrefu kwa muda huu na taifa linapoelekea ni vzur kuwajir vijana wa kidato cha sita kwa kuokoa jahaz.kijana alyemaliza form six anakaa kuanzia mwez wa pil mpaka wa kum huon kwa muda huo utakuwa umewasaidia vijana hawa kujiandaa na mitihan yao.swala la kwamb walimu hao hawana ethcs czan kama lna mshiko kwa xababu tunawaona hao walopat had vyet ndio mabngwa wa kutembea na hao wanafunzi..hyo n tabia ya mtu bwana duncan ingawa pia n kwel..swala la weng wanaomaliza masom ya sanaa n weng hyo ni kweli na hat hao wa sayans wachache hawapew nafasi.mfano mzur n mm mwenyew nlmaliza mwaka jana nlkuwa naomba nifundshe masom kati ya haya pcm nliomba takriban shule tisa na nkakatlwa kote na kwenye chet cha form 4 nlkuwa na AAA kwenye masom hayo..uongoz wa shule nying pia bado n kikazo kikubw katka maendleo ya elimu nchin
Katika harakati za kitaifa za kuokoa elimu yetu ya Tanzania,niko tayari kufundisha BURE masomo ya ziada ya Sekondari kwa kidato cha nne. Mimi si Mwalimu kitaaluma....ni Mwanasheria. Lakini,niko tayari kuongeza nguvu hasa katika Shule za Kata. Ratiba zangu zinanipa nafasi siku ya Jumamosi tu kuanzia asubuhi.
Niko tayari kwa kuanzia Mkoa wa Pwani Wilaya yangu ya Kibaha au Mkoa wa Dar es Salaam Wilaya niishiyo ya Kinondoni. Nawaombeni wenzangu wenye uwezo kama mimi mniunge mkono.Malipo nitayapata kwa Mungu.Angalau tupunguze tatizo la upungufu wa Waalimu. Silengi kudharau Walimu waliopo...nalenga kuimarisha na kuongeza nguvu.Matatizo mengine nayo yataisha taratibu.
Masomo niyawezayo kufundisha ni ya Historia,Kiingereza,Kiswahili,Jiografia na Siasa. Wakuu wa Shule,wasilianeni nami kwa:
Simu: 0713 111171 au Imaili: pemselewa@hotmail.com
Karibuni tuiokoe elimu yetu
Acha wivu usio na maana.Usichoweza wewe,acha tunaoweza tufanyena hili ndio tatizo linalokumba elimu yetu kwamba mtu yeyote tu anaibuka na kutaka kufundisha, unajua kufundisha kuna ethics zake sio unakurupuka tu kisa eti una digrii na kuanza kufundisha matokeo yake ndo yale yale eti 2 ni namba shufwa hii ni ajabu sana wewe endelea na sheria yako bana acha walimu wafanye kazi yao ala?!