Skylar
JF-Expert Member
- Nov 10, 2021
- 2,334
- 5,550
Mwambieni arudishe umeme haraka sana la sivyo tutamtegea mtaani tuchimbe kipara chake hadi kitoe viazi....alisikika mlevi mmoja mitaa ya kariakooKipara anasema ataua mtu msaga kunguni.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwambieni arudishe umeme haraka sana la sivyo tutamtegea mtaani tuchimbe kipara chake hadi kitoe viazi....alisikika mlevi mmoja mitaa ya kariakooKipara anasema ataua mtu msaga kunguni.
Jenereta la laki sabini pia linakushinda?Mwambieni arudishe umeme haraka sana la sivyo tutamtegea mtaani tuchimbe kipara chake hadi kitoe viazi..
Mara ya mwisho huko UK kukatiwa umeme ilikuwa 1977 tangu hapo umeme haujawahi kuzinguaaaHili la Power rationing liko kila mahala mwaka huu lakini tunachotaka ni Ratiba ya mgao.
Millions of UK households could face power rationing this winter
Source: Google
Mkuu mimi mtaani kwangu sijakutana na changamoto ya umeme kiukweli na pia changamoto ya maji sijakutana nayo mara nyingi yakikatika asubuhi jioni yanarudiJenereta la laki sabini pia linakushinda?
Wamekwamisha shughuli za kibiashara hawa wehu, acha tuDaah! Kwa hiyo Kwa sasa Kariakoo ni kama upo kijijini kulivyo kiza totolo siyo.?
Safi sana,ngoja Sasa nilete Mzigo wangu wa ma generator niwauzie hapo Kariakoo,mziki wa totoootoo,bubuuuuubuu,paappaaa uanze hapo Kariakoo! Full makelele ya Generator Kama zile enzi!!Kariakoo yote toka asubuhi hakuna umeme
Atapanda miti mvua zikiwa nyingi vile vile wanakata umeme jua likiwa kali watakwambia mvua hakuna hvyo umeme wa mgaoAnzisha kampeni ya kupanda miti mvua zinyeshe kusiwe na mgao wa umeme
Kwahio UK wakipata rationing tu-justify upuuzi unaofanyika huku ? Europe wamekuwa affected na Ukraine Conflict (jambo ambalo wala halikuwa predictable - Vita), sisi huku tunategemea pia Gesi kutoka Russia ?Hili la Power rationing liko kila mahala mwaka huu lakini tunachotaka ni Ratiba ya mgao.
Millions of UK households could face power rationing this winter
Source: Google
Wanachelewesha ule mradi ili uamze kazi kipindi cha uchaguziKwahio UK wakipata rationing tu-justify upuuzi unaofanyika huku ? Europe wamekuwa affected na Ukraine Conflict (jambo ambalo wala halikuwa predictable - Vita), sisi huku tunategemea pia Gesi kutoka Russia ?
Tukikubali visababu after the fact, sababu huwa haziishi.., wamalize Bwawa haraka litaongeza Megawatt, ila tunapoelekea ni mwendo ule ule kuwapa Tender watu wauzie Tanesco umeme mwisho wa siku tuuziwe sisi.., Tunalipia gharama kubwa sana la kugawana giza...