Nipo tayari kumtoa out huyu member wa JF (Ledada) kwa gharama yoyote ile

Nipo tayari kumtoa out huyu member wa JF (Ledada) kwa gharama yoyote ile

kenny mtanashati

JF-Expert Member
Joined
Sep 17, 2021
Posts
316
Reaction score
848
Wakuu kupitia JF imetufanya tuwe kama ndugu na pia JF ni chombo kilichotuunganisha watu tofauti tofauti. So sioni ubaya wowote kama siku moja nitapata moja baridi na huyu member wa JF ledada ninamkubari sana huyu dada na napenda kuanzisha urafiki ikiwa tu atakubali ombi langu

Nataka ka ofa ka kumtoa out siku moja tukapata nyama choma na moja moto sio kwa ubaya ila ledada i have something special for you [emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]
 
Duuh! Umejoin juzi tu umeshaanza kuwakubali members?
Kabla ya yote jiulize haya maswali mawili na ujijibu,
1. Wewe ni me au ke
2. Huyu unayemkubali ni me au ke

Haya sasa, endelea na mengine, lakini usisahau kuleta mrejesho ukifanikiwa lengo lako
 
Back
Top Bottom