Out alikutoa lakiniAsante kwa kunikubari mkuu,account yako nyingine ni ipi?
🤣🤣🤣umeamua kufukua makaburi mkuuOut alikutoa lakini
Haha hapana nimeukuta uzi hewani. Vipi lakini au jamaa alizingua🤣🤣🤣umeamua kufukua makaburi mkuu
Haha hapana nimeukuta uzi hewani. Vipi lakini au jamaa alizingua
.Ahsante mkuu,na hapana si kwa ubaya lakini.
Uwe na wakati mwema.
Fuatilia ni mmoja anafukuaHuu mtindo wa kufukua nyuzi za kipindi cha nyuma umeshika kasi sana siku hizi mbili
Ndio yule last born ephenFuatilia ni mmoja anafukua
😃 Huyo huyo nadhan hapo anatafuta wakoNdio yule last born ephen