Live circuit
Senior Member
- Mar 11, 2023
- 124
- 365
- Thread starter
-
- #441
Utawafundusha uchoyoHataKama ntakuwa na mafuriko ya wageni kwangu siwezi ruhusu wanangu wakala na wageni ntalala nao chumbani kwangu
Aisee sikudanganyi nikitaka kutoka kidogo, wananitoa na gari.Wale watu ni balaa.We au ulikuwa mbinguni mwenzetu hujui
Huu ugeni jamani,
Nipo ugenini hapa nilipofikia nimejitahidi nisiwe nakula bure, nimefika ijumaa na Ile Ile ijumaa nilileta mafuta ya kula Lita 3.
Hapo hapo nikanunua na nguruwe kilo 2, huwa sipend Sana free lunch. Sasa bana hapa nilipo wanapika msosi kidogo sana yaani daah sijui ndo walivozoea.
Daah nakula slow slow Ila sishibi. Ijumaa na jumamosi nimekula sahani mbili tu yaani mchana napiga chenga, sipendi kuhudhuria kila mida ya misosi.
Sasa Leo jioni (muda si mrefu sijaanza kuandika hii post) Wife wa jamaa wakaleta msosi kama kawaida yao kidogo sana. Nimekaa nazuga zuga naangalia TV uvumilivu ukanishinda nikaona ngoja nimege ugali.
Nikakata nusu, maana nilijua tupo wawili mi na jamaa mwenye nyumba. Nikahisi wife wa jamaa na mdogo wake wanakula uko jikoni. Ile nimekata nusu naona wife wa jamaa na mdogo wake nao Wanakuja daah!
Basi shem ikabidi azuge kama kashiba. Mdogo wa Shem ndo akakata Ile nusu, uliobaki ndo jamaa kala. Nimejisikia vibaya mno natamani niondoke Lee. Yaani jumatatu naona mbali.
Typing error mkuu nlimaanisha wakalala na wageni refer mesej nlioiquoteUtawafundusha uchoyo
seriously kbsa
Bangi zinachangi sana kufanya watu kula sanaPigia salute kwa mwamba🫡 so unashangaa!!, hata mi kwangu sipendagi marafki urojo urojo yan mtu tonge mbiri ananawa hua siwaelewi kabisa, mtu unagonga ugari robo(minimam) mlo mmoja, pembeni upaja wa kuku na hips zake, supu bakuri la pembeni af mboga za majani pale unamalizia na juice af unamwita wife aje akunawishe, unawasha fen unangalia taarifa ya habari, sasa mwizi aje ajikatize usiku namyonga na[emoji123] sihami MBEYA🫶
Hii mambo huwa inategemea na mwanaume wa familia kumpush mkewe., maana mke anaweza kuwa hajiongezi kulingana na idadi ya watu waliopo., mnaweza kuwa mmezoea kupika chakula cha watu watatu wakaongezeka wageni watatu, obvious kipimo kitaongezeka ila ukikuta mke anapika ratio ile ile wakati watu wameongezeka hapo lazima kuna watu watateseka kimoyomoyo.Huu ugeni jamani,
Nipo ugenini hapa nilipofikia nimejitahidi nisiwe nakula bure, nimefika ijumaa na Ile Ile ijumaa nilileta mafuta ya kula Lita 3.
Hapo hapo nikanunua na nguruwe kilo 2, huwa sipend Sana free lunch. Sasa bana hapa nilipo wanapika msosi kidogo sana yaani daah sijui ndo walivozoea.
Daah nakula slow slow Ila sishibi. Ijumaa na jumamosi nimekula sahani mbili tu yaani mchana napiga chenga, sipendi kuhudhuria kila mida ya misosi.
Sasa Leo jioni (muda si mrefu sijaanza kuandika hii post) Wife wa jamaa wakaleta msosi kama kawaida yao kidogo sana. Nimekaa nazuga zuga naangalia TV uvumilivu ukanishinda nikaona ngoja nimege ugali.
Nikakata nusu, maana nilijua tupo wawili mi na jamaa mwenye nyumba. Nikahisi wife wa jamaa na mdogo wake wanakula uko jikoni. Ile nimekata nusu naona wife wa jamaa na mdogo wake nao Wanakuja daah!
Basi shem ikabidi azuge kama kashiba. Mdogo wa Shem ndo akakata Ile nusu, uliobaki ndo jamaa kala. Nimejisikia vibaya mno natamani niondoke Lee. Yaani jumatatu naona mbali.
Je kama ni mwanafunzi yupo likizo, maana wanafunzi wengi huishia kwa ndugu wakati wa likizo kupoza makaliMnawaza kula kula tu ukiwa na pesa hata njaa usikii we ni choka mbaya tafuta pesa utakuja kuniambia
Kumbuka bei ya lodge ni kitimoto kilo, ndizi mbili na coke ya baridiii kama barafu. Nazungumzia 30k sasa ukae siku 10 ni 300k ambapo nakula kitimoto kila siku na chenchi maiti zinabakiSasa gharama yote hiyo ya nini, si ukae lodge tu.
Ni wap uko na mm niende asee[emoji1787][emoji1787]Aisee sikudanganyi nikitaka kutoka kidogo, wananitoa na gari.Wale watu ni balaa.
Moshi kwa mama mmoja wa kichaga, Pale majengo kwa mtei.Unaweza sikitika kwa kuwa na tumbo dogo.Ni wap uko na mm niende asee[emoji1787][emoji1787]
Ukiwa maduka ya Mangi hayo mambo ya kawaida.Imagine mtu anaenda kununua nyanya mbili, kitunguu kimoja, mafuta ya jero, hoho moja, karoti moja, dagaa wa buku na unga nusu na robo.
Unadhani kuna nini hapo? Hongera mkuu kama hujawahi ona au kuishi namna hiyo.
NdiyoKWa familia yako unaweza fanya hvyo?
Tatizo ulienda kwa watu masikini, kimasikiniAisee hii iliwahi kunikuta kota za maafisa wa polisi Nyamkazi Bukoba ile familia ilikuwa inapika chakula kidogo sana nakula sishibi alafu ukimaliza kula unapewa maji ya bariiiidi sasa njaayake usipime ,jicho linanitoka kila nkitaka kutoroka nkale mgahawani watoto wa pale wananifata naishia kuzunguka nao na kurudi,,,nilivyorudi nyumbani nikaulizwa unaumwa nikasema hapana,,ila nikawa nakula kuliko kawaida mzee akasema huyu alikuwa na njaa ikabidi nisimulie,,,maisha ya mjini ni ya kipumbavu mno unakuwa jehanamu kabla hujafa!!
Haya mambo yamepungua sana siku hizi, baada ya simu kuja hivyo mtu anafanya mawasiliano kujuliana hali.Solution ni kuacha kufikia kwa watu. Kwanza kufikia kwa watu unabadili utaratibu wao wa maisha. Ni heri upange ratiba zako ufikie lodge ufante yako usepe
Mwanafunzi hana kwao?Je kama ni mwanafunzi yupo likizo, maana wanafunzi wengi huishia kwa ndugu wakati wa likizo kupoza makali
Mimi mpaka sasa kama sina safari, msosi unafuata ratiba!Kuna familia moja niliwahi iona wao wana ratiba ya msosi kila siku mfano
Jumatatu Jioni makande
Jumanne ugali na mboga
Jumatano wali
Alhamisi ndizi
Ijumaa chapati
Jumapili pilau