Mafian cartel
JF-Expert Member
- Nov 19, 2021
- 3,876
- 7,118
Mnakula Nyengu siodah hizo tabia za dar , huku kusini unakula hadi tumbo linabana
Bangi zinachangi sana kufanya watu kula sana
Nimeuliza tafsiri ya kulazwa na mtoto ni niniHataKama ntakuwa na mafuriko ya wageni kwangu siwezi ruhusu wanangu wakala na wageni ntalala nao chumbani kwangu
Huyu bibi FaizaFoxy sijui alikunywa nini au kuvuta nini wakati anapost kwa akili zake za kiajuza anadhani kila mtu anakuja ugenini kutembea tu au kwenye semina.Kuna watu wanakuja kuuguza mtu anauguza mwezi,miwili hata mitatu mda huo wote atakuwa anakaa hotelini kwa kipato gani?Ni kweli lkn vipi kama kaja mjini kutafuta maisha watakaa lodge mpaka lini na istoshe hata hela lodge hana,muda mwingine tunabebana tu hivo hivo japo kuwa kuna baadhi ya wageni hawanaga shukran anataka ustarabu wake alikuja nao ndo ufatwe na wanakuaga na maneno ya kuwachafua wenyej wao hao. Hawafai
Mgeni hawezi lala na mtoto bana ntalala nae chumbani kwangu kumpisha mgeni ajinafasi,asijeshindwa kujijambia kuhofia mtoto atamuumbuaNimeuliza tafsiri ya kulazwa na mtoto ni nini
Hawa nao huwa changamoto sana basi tu tutafanyaje wavivu wengi wao wanapenda sana TV na kuangalia miziki isiyo na mafaili hawataki kusaidia kazi za nyumbani..wazazi tuwafundishe watoto kuwa punctual na kujiongeza wanakera sanaJe kama ni mwanafunzi yupo likizo, maana wanafunzi wengi huishia kwa ndugu wakati wa likizo kupoza makali
Sema wapare hawataelewa huu ushauri.Jamani mbinguni hakuna hotel , tujilie tushibe hapa duniani. Mbinguni ni mapambio kusifu na kuabudu, mkate na divai.
Wanaume piga menu uvue shati ujipepee uwe na nguvu.( usiwe na kitambi)
Wanawake kula kiasi miili yetu sio ya kufukia kushiba sana hasa usiku.
Muda huu saa 08:30 asubuhi nimeshakula chakula kabisa na sio chai nimepika naenda kazini mchana sili. Nakula saa 18:00 kamili jion. Saa 18:30 jion naenda mazoezi nakimbia kiasi natembea mpaka saa 20:30usiku nikifika home sili chochote labda maji mpaka kesho.
Hivi nyie mulishawazaga mtu akifa yale maneno yanayosemwa? Mali umezitafuta mwenyewe ila unazikwa haraka ili watu wale.
Utasikia
1. Jamani Tuzike haraka ndo tukale
2. Chakula kipimwe kingi cha kutosha.
Hizi sentence zinaniumiza sana sasa wewe jibane na ubahili wako kutwa kujilisha kabichi na ugali, ukifa tutkuzika chap ndo tuje tule ma ng'ombe yako.
πππ Pole sana mkuuHuu ugeni jamani,
Nipo ugenini hapa nilipofikia nimejitahidi nisiwe nakula bure, nimefika ijumaa na Ile Ile ijumaa nilileta mafuta ya kula Lita 3.
Hapo hapo nikanunua na nguruwe kilo 2, huwa sipend Sana free lunch. Sasa bana hapa nilipo wanapika msosi kidogo sana yaani daah sijui ndo walivozoea.
Daah nakula slow slow Ila sishibi. Ijumaa na jumamosi nimekula sahani mbili tu yaani mchana napiga chenga, sipendi kuhudhuria kila mida ya misosi.
Sasa Leo jioni (muda si mrefu sijaanza kuandika hii post) Wife wa jamaa wakaleta msosi kama kawaida yao kidogo sana. Nimekaa nazuga zuga naangalia TV uvumilivu ukanishinda nikaona ngoja nimege ugali.
Nikakata nusu, maana nilijua tupo wawili mi na jamaa mwenye nyumba. Nikahisi wife wa jamaa na mdogo wake wanakula uko jikoni. Ile nimekata nusu naona wife wa jamaa na mdogo wake nao Wanakuja daah!
Basi shem ikabidi azuge kama kashiba. Mdogo wa Shem ndo akakata Ile nusu, uliobaki ndo jamaa kala. Nimejisikia vibaya mno natamani niondoke Lee. Yaani jumatatu naona mbali.
mimi mkuu kuna wifi wa mke wangu (yaani mke wa kaka yake ) Aliomba kuja kutembea ,Ajabu toka aje ,hata kumsaidia kupika wife hamsaidii au kazi dongo ndogo hasaidii yeye ni kukaa kuangalia tv ,mwenzie akahangaike na majungu huko mchana asubuhi jioni usiku na same time wife anakaofisi kake anakwenda huku kufanya kazi inamana hata akichelewa akifika aingie jikoni mwenyewe apike amtengee ale na yeye ana watoto watatu .Hawa nao huwa changamoto sana basi tu tutafanyaje wavivu wengi wao wanapenda sana TV na kuangalia miziki isiyo na mafaili hawataki kusaidia kazi za nyumbani..wazazi tuwafundishe watoto kuwa punctual na kujiongeza wanakera sana
We itakua ulikua peponi angalia vizuri[emoji23][emoji23][emoji23]Kuna mahala nipo mimi ni mgeni, unakaangiwa nusu kuku na hapo wanataka ule na supu.Ukikaa kidogo wanakukaangia ndizi na perege kwa kweli nimekula.Pasaka wakataka kuniua wakanipikia machalari na minyama mikubwa kama ngumi ya mandonga.
Sijakaa vizuri wakaniletea chipsi na nyama za mbuzi za kuchoma.Hamadi wakaleta pilau mbuzi na vipande vya tikiti sijui na saladi.Nikala mpaka nikakasirika kwa furaha.Walivyo kiboko wakaniletea na supu.Mara paap bia hizi nkasema mi sinnywi bia wakaniletea soda tatu, ya mchana, ya asubuhi na ya jioni wakati wa kulala.Ratiba ya kuzinywa nilipanga mimi.
Yaani wakuu nilikuwa na uhakika wa kula nusu kuku kila siku.saa nyingine asubuhi kidari mchana Firigisi, jioni kipaja asubuhi namalizia kidari wakati mwingine.Nimekaa siku kumi na nne.Kuna kazi nilienda kuifanya kwao wameniambia nirudi tena kufanya ingine.NAONA KUCHELEWA.
SHIKAMOO WALE WATU WALIJUA KUNINYOOSHA KWA KWELI.ila mkuu pole hao watu ni wachoyo.jaiwezekani chakula ambacho hata panya hamalizi mle watu wanne.HAO NI WACHOYO.
Unatakiwa uwe na pocket money π€π°Huu ugeni jamani,
Nipo ugenini hapa nilipofikia nimejitahidi nisiwe nakula bure, nimefika ijumaa na Ile Ile ijumaa nilileta mafuta ya kula Lita 3.
Hapo hapo nikanunua na nguruwe kilo 2, huwa sipend Sana free lunch. Sasa bana hapa nilipo wanapika msosi kidogo sana yaani daah sijui ndo walivozoea.
Daah nakula slow slow Ila sishibi. Ijumaa na jumamosi nimekula sahani mbili tu yaani mchana napiga chenga, sipendi kuhudhuria kila mida ya misosi.
Sasa Leo jioni (muda si mrefu sijaanza kuandika hii post) Wife wa jamaa wakaleta msosi kama kawaida yao kidogo sana. Nimekaa nazuga zuga naangalia TV uvumilivu ukanishinda nikaona ngoja nimege ugali.
Nikakata nusu, maana nilijua tupo wawili mi na jamaa mwenye nyumba. Nikahisi wife wa jamaa na mdogo wake wanakula uko jikoni. Ile nimekata nusu naona wife wa jamaa na mdogo wake nao Wanakuja daah!
Basi shem ikabidi azuge kama kashiba. Mdogo wa Shem ndo akakata Ile nusu, uliobaki ndo jamaa kala. Nimejisikia vibaya mno natamani niondoke Lee. Yaani jumatatu naona mbali.
Na hii ndio solution ya nn ajitese![emoji23][emoji23][emoji23]
basi Uwe unapiga msosi hata kwa mama ntilie ukirudi hapo unafanya finishing tu.
Mara nyingi watu kama hao hawanaga sijui mood ya kula , kuna familia hapa jiran yangu ya watoto wawil baba na mama na Dada wa kazi wakipika wali kilo utagalagala siku nzima tutoto tumekoonda na wana hela ya kubadilishia mboga vizur tuHuu ugeni jamani,
Nipo ugenini hapa nilipofikia nimejitahidi nisiwe nakula bure, nimefika ijumaa na Ile Ile ijumaa nilileta mafuta ya kula Lita 3.
Hapo hapo nikanunua na nguruwe kilo 2, huwa sipend Sana free lunch. Sasa bana hapa nilipo wanapika msosi kidogo sana yaani daah sijui ndo walivozoea.
Daah nakula slow slow Ila sishibi. Ijumaa na jumamosi nimekula sahani mbili tu yaani mchana napiga chenga, sipendi kuhudhuria kila mida ya misosi.
Sasa Leo jioni (muda si mrefu sijaanza kuandika hii post) Wife wa jamaa wakaleta msosi kama kawaida yao kidogo sana. Nimekaa nazuga zuga naangalia TV uvumilivu ukanishinda nikaona ngoja nimege ugali.
Nikakata nusu, maana nilijua tupo wawili mi na jamaa mwenye nyumba. Nikahisi wife wa jamaa na mdogo wake wanakula uko jikoni. Ile nimekata nusu naona wife wa jamaa na mdogo wake nao Wanakuja daah!
Basi shem ikabidi azuge kama kashiba. Mdogo wa Shem ndo akakata Ile nusu, uliobaki ndo jamaa kala. Nimejisikia vibaya mno natamani niondoke Lee. Yaani jumatatu naona mbali.
Leo nimeenda tena ile sehemu nitaleta mrejesho mkuu.We itakua ulikua peponi angalia vizuri[emoji23][emoji23][emoji23]
Wanafanya Nn siku zote hizo,mimi mkuu kuna wifi wa mke wangu (yaani mke wa kaka yake ) Aliomba kuja kutembea ,Ajabu toka aje ,hata kumsaidia kupika wife hamsaidii au kazi dongo ndogo hasaidii yeye ni kukaa kuangalia tv ,mwenzie akahangaike na majungu huko mchana asubuhi jioni usiku na same time wife anakaofisi kake anakwenda huku kufanya kazi inamana hata akichelewa akifika aingie jikoni mwenyewe apike amtengee ale na yeye ana watoto watatu .
..Aisee hawa ndgu wanaokuja majumbani kwa watu huwa ni mtihaani,Wapo wenye kujielewa hata kama wanabebwa huwa wanajiongeza wakifika miji ya watu wanasaidia kazi ndogo ndogo kufagia uwanja ,kuosha vyombo hata kupika ,ila huyu dada aisee ni too much hata watoto alivyowalia ni mtihaani ,yaan mtoto hata kuamkia wakubwa hajui ,
Toka aje hajawahi nisalimia na mama mtu hajali na nilivumilia siku nikamwambia mfundishe mtoto wako kuamkia wakubwa ,mtaenda sehemu zingine mtatia aibu kwakweli ,basi kanisikiliza ila mambo yale yale ,nimeamua muachana naye maana muda ukiisha waende zao ...
Kula gengeni nyumbani unaenda kukazia tuUkiwa ugenini usile ukashiba, ukitaka kushiba kula gengeni kabla ya kurudi home
Leo nimeenda tena ile sehemu nitaleta mrejesho mkuu.