Nipo ugenini, wanapika chakula kidogo mno

Nipo ugenini, wanapika chakula kidogo mno

Bangi zinachangi sana kufanya watu kula sana

Kula sana kwakujifos ni tatizo ila kula kulingana na uwezo wako apo sio tatizo ila kwa wanaume mi naona ni udhaifu, na endapounatafuta mwemyewe na mwili wako unakuruhusu kula kuku nusu na chapati bila kupunja wengine wanao kutegemea kula narudia tena kula usijibane kabisa hasa ukiwa mwanaume.

hata njiani tunatofautiana miili, nguvu na afya kwa ujumla ndo ivo ivo hata kwenye kula tunatofautiana kulingana na mahitaji ya mwili husika.

Binafsi nilianza kupata altitude ya kula nilipopata dawa flani kutoka kigoma zinatibu maradhi mengi ndo niligundua kumbe nilikua mgojwa miaka yote, pili nilifungua workshop karibu na kituo cha police cha wilaya na mgahawa niliokua naenda kupata tea ndo askari wengi walikua wanatumia pale kama sehem yao yakupata misos asee wale washkaji hawavungi kwenye kula na kuna kamishina flani iv rafik yangu wakurya walinimotivate sana niligundua mwanaume bila kula huwezi kua na nguvu yan iyo nimeprove mwemyewe, tena zingatia kula vyakula vyakujenga mwili na kuupa nguvu utaona utavyokua imara kila idara.

Maisha ni kula mwili ndo utao zikwa nao, as umetafuta mwenyewe kwa jasho lako bas hakikisha familia yako nawew mnakula vizuri kila mtu kwa tani yake sio bajet za kijinga kijinga kwenye chakula.
 
Jamani mbinguni hakuna hotel , tujilie tushibe hapa duniani. Mbinguni ni mapambio kusifu na kuabudu, mkate na divai.
Wanaume piga menu uvue shati ujipepee uwe na nguvu.( usiwe na kitambi)

Wanawake kula kiasi miili yetu sio ya kufukia kushiba sana hasa usiku.

Muda huu saa 08:30 asubuhi nimeshakula chakula kabisa na sio chai nimepika naenda kazini mchana sili. Nakula saa 18:00 kamili jion. Saa 18:30 jion naenda mazoezi nakimbia kiasi natembea mpaka saa 20:30usiku nikifika home sili chochote labda maji mpaka kesho.

Hivi nyie mulishawazaga mtu akifa yale maneno yanayosemwa? Mali umezitafuta mwenyewe ila unazikwa haraka ili watu wale.
Utasikia
1. Jamani Tuzike haraka ndo tukale
2. Chakula kipimwe kingi cha kutosha.

Hizi sentence zinaniumiza sana sasa wewe jibane na ubahili wako kutwa kujilisha kabichi na ugali, ukifa tutkuzika chap ndo tuje tule ma ng'ombe yako.
 
Ni kweli lkn vipi kama kaja mjini kutafuta maisha watakaa lodge mpaka lini na istoshe hata hela lodge hana,muda mwingine tunabebana tu hivo hivo japo kuwa kuna baadhi ya wageni hawanaga shukran anataka ustarabu wake alikuja nao ndo ufatwe na wanakuaga na maneno ya kuwachafua wenyej wao hao. Hawafai
Huyu bibi FaizaFoxy sijui alikunywa nini au kuvuta nini wakati anapost kwa akili zake za kiajuza anadhani kila mtu anakuja ugenini kutembea tu au kwenye semina.Kuna watu wanakuja kuuguza mtu anauguza mwezi,miwili hata mitatu mda huo wote atakuwa anakaa hotelini kwa kipato gani?
 
Je kama ni mwanafunzi yupo likizo, maana wanafunzi wengi huishia kwa ndugu wakati wa likizo kupoza makali
Hawa nao huwa changamoto sana basi tu tutafanyaje wavivu wengi wao wanapenda sana TV na kuangalia miziki isiyo na mafaili hawataki kusaidia kazi za nyumbani..wazazi tuwafundishe watoto kuwa punctual na kujiongeza wanakera sana
 
Jamani mbinguni hakuna hotel , tujilie tushibe hapa duniani. Mbinguni ni mapambio kusifu na kuabudu, mkate na divai.
Wanaume piga menu uvue shati ujipepee uwe na nguvu.( usiwe na kitambi)

Wanawake kula kiasi miili yetu sio ya kufukia kushiba sana hasa usiku.

Muda huu saa 08:30 asubuhi nimeshakula chakula kabisa na sio chai nimepika naenda kazini mchana sili. Nakula saa 18:00 kamili jion. Saa 18:30 jion naenda mazoezi nakimbia kiasi natembea mpaka saa 20:30usiku nikifika home sili chochote labda maji mpaka kesho.

Hivi nyie mulishawazaga mtu akifa yale maneno yanayosemwa? Mali umezitafuta mwenyewe ila unazikwa haraka ili watu wale.
Utasikia
1. Jamani Tuzike haraka ndo tukale
2. Chakula kipimwe kingi cha kutosha.

Hizi sentence zinaniumiza sana sasa wewe jibane na ubahili wako kutwa kujilisha kabichi na ugali, ukifa tutkuzika chap ndo tuje tule ma ng'ombe yako.
Sema wapare hawataelewa huu ushauri.
 
Huu ugeni jamani,

Nipo ugenini hapa nilipofikia nimejitahidi nisiwe nakula bure, nimefika ijumaa na Ile Ile ijumaa nilileta mafuta ya kula Lita 3.

Hapo hapo nikanunua na nguruwe kilo 2, huwa sipend Sana free lunch. Sasa bana hapa nilipo wanapika msosi kidogo sana yaani daah sijui ndo walivozoea.

Daah nakula slow slow Ila sishibi. Ijumaa na jumamosi nimekula sahani mbili tu yaani mchana napiga chenga, sipendi kuhudhuria kila mida ya misosi.

Sasa Leo jioni (muda si mrefu sijaanza kuandika hii post) Wife wa jamaa wakaleta msosi kama kawaida yao kidogo sana. Nimekaa nazuga zuga naangalia TV uvumilivu ukanishinda nikaona ngoja nimege ugali.

Nikakata nusu, maana nilijua tupo wawili mi na jamaa mwenye nyumba. Nikahisi wife wa jamaa na mdogo wake wanakula uko jikoni. Ile nimekata nusu naona wife wa jamaa na mdogo wake nao Wanakuja daah!

Basi shem ikabidi azuge kama kashiba. Mdogo wa Shem ndo akakata Ile nusu, uliobaki ndo jamaa kala. Nimejisikia vibaya mno natamani niondoke Lee. Yaani jumatatu naona mbali.
😂😂😂 Pole sana mkuu
 
Hawa nao huwa changamoto sana basi tu tutafanyaje wavivu wengi wao wanapenda sana TV na kuangalia miziki isiyo na mafaili hawataki kusaidia kazi za nyumbani..wazazi tuwafundishe watoto kuwa punctual na kujiongeza wanakera sana
mimi mkuu kuna wifi wa mke wangu (yaani mke wa kaka yake ) Aliomba kuja kutembea ,Ajabu toka aje ,hata kumsaidia kupika wife hamsaidii au kazi dongo ndogo hasaidii yeye ni kukaa kuangalia tv ,mwenzie akahangaike na majungu huko mchana asubuhi jioni usiku na same time wife anakaofisi kake anakwenda huku kufanya kazi inamana hata akichelewa akifika aingie jikoni mwenyewe apike amtengee ale na yeye ana watoto watatu .
..Aisee hawa ndgu wanaokuja majumbani kwa watu huwa ni mtihaani,Wapo wenye kujielewa hata kama wanabebwa huwa wanajiongeza wakifika miji ya watu wanasaidia kazi ndogo ndogo kufagia uwanja ,kuosha vyombo hata kupika ,ila huyu dada aisee ni too much hata watoto alivyowalia ni mtihaani ,yaan mtoto hata kuamkia wakubwa hajui ,

Toka aje hajawahi nisalimia na mama mtu hajali na nilivumilia siku nikamwambia mfundishe mtoto wako kuamkia wakubwa ,mtaenda sehemu zingine mtatia aibu kwakweli ,basi kanisikiliza ila mambo yale yale ,nimeamua muachana naye maana muda ukiisha waende zao ...
 
Kuna mahala nipo mimi ni mgeni, unakaangiwa nusu kuku na hapo wanataka ule na supu.Ukikaa kidogo wanakukaangia ndizi na perege kwa kweli nimekula.Pasaka wakataka kuniua wakanipikia machalari na minyama mikubwa kama ngumi ya mandonga.
Sijakaa vizuri wakaniletea chipsi na nyama za mbuzi za kuchoma.Hamadi wakaleta pilau mbuzi na vipande vya tikiti sijui na saladi.Nikala mpaka nikakasirika kwa furaha.Walivyo kiboko wakaniletea na supu.Mara paap bia hizi nkasema mi sinnywi bia wakaniletea soda tatu, ya mchana, ya asubuhi na ya jioni wakati wa kulala.Ratiba ya kuzinywa nilipanga mimi.
Yaani wakuu nilikuwa na uhakika wa kula nusu kuku kila siku.saa nyingine asubuhi kidari mchana Firigisi, jioni kipaja asubuhi namalizia kidari wakati mwingine.Nimekaa siku kumi na nne.Kuna kazi nilienda kuifanya kwao wameniambia nirudi tena kufanya ingine.NAONA KUCHELEWA.
SHIKAMOO WALE WATU WALIJUA KUNINYOOSHA KWA KWELI.ila mkuu pole hao watu ni wachoyo.jaiwezekani chakula ambacho hata panya hamalizi mle watu wanne.HAO NI WACHOYO.
We itakua ulikua peponi angalia vizuri[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huu ugeni jamani,

Nipo ugenini hapa nilipofikia nimejitahidi nisiwe nakula bure, nimefika ijumaa na Ile Ile ijumaa nilileta mafuta ya kula Lita 3.

Hapo hapo nikanunua na nguruwe kilo 2, huwa sipend Sana free lunch. Sasa bana hapa nilipo wanapika msosi kidogo sana yaani daah sijui ndo walivozoea.

Daah nakula slow slow Ila sishibi. Ijumaa na jumamosi nimekula sahani mbili tu yaani mchana napiga chenga, sipendi kuhudhuria kila mida ya misosi.

Sasa Leo jioni (muda si mrefu sijaanza kuandika hii post) Wife wa jamaa wakaleta msosi kama kawaida yao kidogo sana. Nimekaa nazuga zuga naangalia TV uvumilivu ukanishinda nikaona ngoja nimege ugali.

Nikakata nusu, maana nilijua tupo wawili mi na jamaa mwenye nyumba. Nikahisi wife wa jamaa na mdogo wake wanakula uko jikoni. Ile nimekata nusu naona wife wa jamaa na mdogo wake nao Wanakuja daah!

Basi shem ikabidi azuge kama kashiba. Mdogo wa Shem ndo akakata Ile nusu, uliobaki ndo jamaa kala. Nimejisikia vibaya mno natamani niondoke Lee. Yaani jumatatu naona mbali.
Unatakiwa uwe na pocket money 🤑💰
Unakua una Toka kimya kimya piga menyu....ukifika hapo unakua kama unakazia Swaumu....
😊😊😊😊
#YMCMB
 
Huu ugeni jamani,

Nipo ugenini hapa nilipofikia nimejitahidi nisiwe nakula bure, nimefika ijumaa na Ile Ile ijumaa nilileta mafuta ya kula Lita 3.

Hapo hapo nikanunua na nguruwe kilo 2, huwa sipend Sana free lunch. Sasa bana hapa nilipo wanapika msosi kidogo sana yaani daah sijui ndo walivozoea.

Daah nakula slow slow Ila sishibi. Ijumaa na jumamosi nimekula sahani mbili tu yaani mchana napiga chenga, sipendi kuhudhuria kila mida ya misosi.

Sasa Leo jioni (muda si mrefu sijaanza kuandika hii post) Wife wa jamaa wakaleta msosi kama kawaida yao kidogo sana. Nimekaa nazuga zuga naangalia TV uvumilivu ukanishinda nikaona ngoja nimege ugali.

Nikakata nusu, maana nilijua tupo wawili mi na jamaa mwenye nyumba. Nikahisi wife wa jamaa na mdogo wake wanakula uko jikoni. Ile nimekata nusu naona wife wa jamaa na mdogo wake nao Wanakuja daah!

Basi shem ikabidi azuge kama kashiba. Mdogo wa Shem ndo akakata Ile nusu, uliobaki ndo jamaa kala. Nimejisikia vibaya mno natamani niondoke Lee. Yaani jumatatu naona mbali.
Mara nyingi watu kama hao hawanaga sijui mood ya kula , kuna familia hapa jiran yangu ya watoto wawil baba na mama na Dada wa kazi wakipika wali kilo utagalagala siku nzima tutoto tumekoonda na wana hela ya kubadilishia mboga vizur tu
 
mimi mkuu kuna wifi wa mke wangu (yaani mke wa kaka yake ) Aliomba kuja kutembea ,Ajabu toka aje ,hata kumsaidia kupika wife hamsaidii au kazi dongo ndogo hasaidii yeye ni kukaa kuangalia tv ,mwenzie akahangaike na majungu huko mchana asubuhi jioni usiku na same time wife anakaofisi kake anakwenda huku kufanya kazi inamana hata akichelewa akifika aingie jikoni mwenyewe apike amtengee ale na yeye ana watoto watatu .
..Aisee hawa ndgu wanaokuja majumbani kwa watu huwa ni mtihaani,Wapo wenye kujielewa hata kama wanabebwa huwa wanajiongeza wakifika miji ya watu wanasaidia kazi ndogo ndogo kufagia uwanja ,kuosha vyombo hata kupika ,ila huyu dada aisee ni too much hata watoto alivyowalia ni mtihaani ,yaan mtoto hata kuamkia wakubwa hajui ,

Toka aje hajawahi nisalimia na mama mtu hajali na nilivumilia siku nikamwambia mfundishe mtoto wako kuamkia wakubwa ,mtaenda sehemu zingine mtatia aibu kwakweli ,basi kanisikiliza ila mambo yale yale ,nimeamua muachana naye maana muda ukiisha waende zao ...
Wanafanya Nn siku zote hizo,
 

Attachments

  • DSC_0109.JPG
    DSC_0109.JPG
    1.2 MB · Views: 9
Back
Top Bottom