Nipo ugenini, wanapika chakula kidogo mno

Hapo wanakufukuza kijanja.. Hawataki kukuona na inawezekana unalala sebuleni au nawatoto..
 
Acha kusengenya wenyeji wako!!! Hata hivyo umejikaribisha mwenyewe ni vyema uvumilie hadi utakaporudi kwako. Lasivyo tafuta kiguest na kigenge cha mama ntilie hadi utakapomaliza shughuli zako hapo kijijini.
 
Bora wewe umekata nusu,ningekua mimi ningekula wote,wao si ndio wenyeji wangeenda jikoni kupika tena,sio kula kama unaonja,kwanza huku kijijini kabla ya chakula tunaanza na karanga mara maziwa na manumbu mpka chakula kinakuja mtu ushaanza kushiba,
 
Hao ndio watu wamjini budget za msosi kama wahindi.Gunia tatu za dengu matumizi mwaka mzima kazi kuongeza pilipili tu kuleta ladha.
Ha ha ha huko chooni inakuwaje!
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] mkaanza kupanga matofari
 
Mtu unakula ugali kama ngumi ya mtoto na dagaa tatu mchuzi ndoo ya maji ....harafu ukiwa Kwa bed unataka kupiga goli 3 ,na upelekee moto ,my friend utaendelea kujiona huna nguvu ,kumbe hata nguvu za kawaida tu huna ....

Watu dsm wanashinda njaa kiasi kwamba wanakosa hata nguvu za kuongea ,..
 
Kusema kweli mjini hasa Dar watu wanakula share ndogo sana. Chakula kinapikwa hadi unajiwazia kweli hiki watu wanashiba? Ila ndio life la town!!
🤣🤣🤣🤣 Kumbe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…