Nipo wami na Fuso lina gunia 100 mahindi

Nipo wami na Fuso lina gunia 100 mahindi

Weka 3 piga stoper, ukiingia darajani weka 2 hadi juu
Madereva Tanzania siyo wachoyo wa elimu hata kwa njia ya mtandao,Safi sana hongereni sana madereva wote Tanzania! Sasa hili lingekua tatizo la kisheria,basi Wanasheria kibao wangekwita inboboo ili wakuseti vizuri[emoji2][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23]
 
Hiyo ni Wami Dakawa punguza presha.

Pita na zote.
 
Back
Top Bottom