imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Mwambie moko stoper na footbrake mpaka kwenye bati.Huna stoper? Weka 2 piga stoper alaf panda na 2 hiyo hiyo if watoka Tanga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwambie moko stoper na footbrake mpaka kwenye bati.Huna stoper? Weka 2 piga stoper alaf panda na 2 hiyo hiyo if watoka Tanga
Fuso, sio kirikuuMnafundishana kwenye mtandao gari yenyewe mnaijua ikoje..!
Tayari huyo atakuwa kanyakuliwa kwenda mawinguni kumlaki bwanaTupe mrejesho, mbona kimya
Kumlaki bwana, hakunaga njia nyingine?Tayari huyo atakuwa kanyakuliwa kwenda mawinguni kumlaki bwana
Kama hili?Habari wazee wa Jf.
Ndio mara yangu ya kwanza kupeleka mzigo Dar. Nipo karibu na mteremko wa daraja wami natetemeka wazee nikifikiria kupanda ule mlima dua zenu jamani.
Anauza mzigo wake.Tupe mrejesho, mbona kimya
Lipo fiti long basewami mbona simple tu au gari yako kimeo. kama gari yako iko vizuri kanyaga mashine Cha msingi zingatia sheria na alama zabarabarani