KitetoUnatokea wap
Fanya tu kuachia usukani.Habari wazee wa Jf.
Ndio mara yangu ya kwanza kupeleka mzigo Dar. Nipo karibu na mteremko wa daraja wami natetemeka wazee nikifikiria kupanda ule mlima dua zenu jamani.
DuFanya tu kuachia usukani.
Unachati jf akati unaendesha?
ZERO STOP
Habari wazee wa Jf.
Ndio mara yangu ya kwanza kupeleka mzigo Dar. Nipo karibu na mteremko wa daraja wami natetemeka wazee nikifikiria kupanda ule mlima dua zenu jamani.
Madereva Tanzania siyo wachoyo wa elimu hata kwa njia ya mtandao,Safi sana hongereni sana madereva wote Tanzania! Sasa hili lingekua tatizo la kisheria,basi Wanasheria kibao wangekwita inboboo ili wakuseti vizuri[emoji2][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23]Weka 3 piga stoper, ukiingia darajani weka 2 hadi juu