Nipo

mshana jr kwa kuwatisha watu hujambo. Uchawi wa Kipare si ulimalizwa na Wakahe!! Wazee tunalijua hilo. Kahe kwa Mamkare ndio top. Ugweno si kitu tena jamani, sasa tuseme umeenda wapi kuu up grade??
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Mshana wangu[emoji8][emoji8][emoji8][emoji173][emoji173][emoji173]
[emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji13] [emoji13] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji85] [emoji85] [emoji85]
 
Mwonekano wako umekaa kipapaa utakua unahonga sana mshana
 
[emoji116]Ona anavyofanana na feza/pesa/mkwanja/ngawira,wenzako wote wameshakimbilia pm wewe unapiga makelele hapa!......hakika utaishia kula kwa macho rafiki![emoji1]
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji85] [emoji85] [emoji87] [emoji87] [emoji102] [emoji102] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
We Mshana jr. akivua hayo madudu wadada watamalizana ndo maana haya vui halafu Mshana ni kama 76 kg wakati lem. labda kg. 120!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…